John Haramba
JF-Expert Member
- Feb 4, 2022
- 365
- 1,373
Akiwa katika Kofia ya Katibu Mkuu wa Shirikisho la Muziki Tanzania, Fid Q ametolea ufafanuzi suala la kutokuwepo Vipengele vya muziki wa Injini katika Tuzo za Muziki Tanzania TMA akieleza sababu kuu mbili!
1. Aina ya Wadhamini na bidhaa zao ambazo pengine hazifungamani na itikadi za kidini! Jambo ambalo lilileta mtafaruku kwenye Tuzo za KTMA.
2. Uwepo wa dini zaidi ya moja nchini hivyo kuepuka baadhi ya maneno yanayoweza kuibuka kwa kudai ubaguzi wa kidini na vitu kama hivyo!
1. Aina ya Wadhamini na bidhaa zao ambazo pengine hazifungamani na itikadi za kidini! Jambo ambalo lilileta mtafaruku kwenye Tuzo za KTMA.
2. Uwepo wa dini zaidi ya moja nchini hivyo kuepuka baadhi ya maneno yanayoweza kuibuka kwa kudai ubaguzi wa kidini na vitu kama hivyo!