Habar wakuu,
Sisi wafanyakazi tunaofanya kampuni binafsi hakika tunanyanyasika sana hasa linapofikia swala la kulipwa stahiki zetu na mishahara, kuna kuwa hakuna sababu ya mfanyakazi kulipwa mshahara kuanzia tarehe 5-8 mwa mwezi unaofuata.
Mfano mshahara wa mwezi wa tatu unalipwa mwezi wa nne...
Napoandika hii post leo, na siku za karibuni waziri mkuu amekuwa ziarani Mkoa wa Kilimanjaro, naomba na kumsihi Waziri Mkuu aifanyie uchunguzi ofisi ya Mkurugenzi wa manispaa ya Moshi mjini, mipango miji na TARURA kwa kula rushwa nakuuza maneno ya wazi au kuwezesha maneno ya wazi kuuzwa kwa watu...
Anonymous
Thread
backbenchers
fichuafichua rushwa
fichua uovu
hii
manispaa ya moshi mjini
mkuu
tanganyika amka
wananchi tumechoka
waziri
waziri mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.