Leo tujikumbushe Waheshimiwa Mawaziri waliowahi kutumbuliwa kwa fedheha ikiwemo tuhuma za (rushwa, udhalilishaji, ulevi, kutumia madaraka vibaya).
1. Laigwanani Mkuu (tuhuma za Rushwa RICHMOND) - mzee wa kuzungusha mikono hewani, ha ha ha
2. Charles Kitwanga, (ulevi)
3. Prof Muongo,
4. Kanghe...