Raha ya milele umpe Ee Bwana, apumzime kwa amani, Amina!
Binafsi nimeona mijadala mbalimbali ikimuhusisha Fr. Kitima na namna alivyowatambulisha watu kanisani na namna alivyomkaribisha Rais kuaga mwili wa Marehemu Pengo.
Sehemu kubwa ya mjadala watu wanasema kwamba Fr. Kitima kaonyesha dharau...
About 100 Catholic congregants on Monday, January 5, 2026, protested at the Vatican Embassy in Tanzania, where they submitted a formal letter of complaint against two senior Church leaders.
The protest targeted the Archbishop of the Archdiocese of Dar es Salaam, Jude Thaddaeus Ruwa’ichi, and...
Njooni huku muone Wakatoliki wanaovaa vijora!
----
Kundi la waumini wa Kanisa Katoliki linalokadiriwa kufikia watu 100, leo Januari 5, 2026, limefika katika Ubalozi wa Vatican nchini Tanzania kuwasilisha barua rasmi ya malalamiko dhidi ya viongozi wawili waandamizi wa kanisa hilo.
Malalamiko...
Hao Mlokaa kupanga namna ya Kumuua Kitima wamo waroman.
Huko Tanesco pia Wamo Waromani.
Funga Domo lako kubwa Kaa kimya, Jiandae Dec 9 Unatembelewa !!!.
Tuache kuongelea mkataba wa waadabu wa Dp World ambao una kila dalili za rushwa na ufisadi .
Yuko wapi Chaula? Mdude Nyagali na akina Soka?
Angela Kiziga aliyekwapua mabilioni ya fedha na kuuchuna kama vile yupo kijijini analima mahindi, anastahili kuwa msaidizi wa rais?
TEC wanasimamia...
Sina mengi, leo nimesikiliza hotiba ya Rais Samia, nimeshangaa, nimesikitika na kuhuzunika sana, sikutemea.
In short father Kitima, kwa usalama wa maisha yako ni bora anza kuishi kama Askofu Gwajima. KUANZIA jana maisha Yako yapo hatarini sana.
Wakuu,
Watu wote wanaopinga kile kilichosemwa na na Father ni maqdui wakubwa wa nchi wenye nia ya kuficha uchafu wote uliofanywa na serikali.
Yaani kwa lugha rahisi unaweza ukasema wanaopinga hoja za Dr. Kitima ni kama wametolewa ubongo na kuingiziwq kimba kumkichwa hata wasielewe kile...
Ndugu Samia Hassan Suluhu leo kama taatifa ilivyo anaongea na Makada wa CCM Kule Dar, na kama kawaida leo alikuwa aje na zile swaga zao za kila siku, za Walilipawa, Kwanini wachome nchi, Walitoka nje ya nchi, hawatutakii mema, na blaa blaa zingine.
Sasa ile Press ya Kitima inabidi magwiji wa...
Wakuu,
Hivi katika lile shambulio tuseme Father Kitima na siombei lakini tuseme angepoteza maisha, kwa hiyo ndo kesi ingeishia hapo hapo isingeendelea?
Anyway,
=================================
Ikiwa imepita mwezi mmoja tangu Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu (TEC), Padri Kitima ashumbuliwe...
Kwa mazungumzo niliofanya naye ni kwamba, jana aliweza kuitisha vikao kwa viongozi wa dini zote kwaajili ya kutafakari ya jumbe zao walizozitoa wakati wa Idd na Pasaka na walikuwa viongozi trakibani 100 na wakamaliza vikao vyao salama na ndipo baadae jioni wakati anakwenda msalani katika eneo la...
https://youtu.be/QnKI3wLXcaY?si=BjAtS93gaNwhr3jA
➡Mtu aweza kujiuliza kuna tatizo gani ktk kauli au maneno haya yanayozungumzwa hapa na Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC) hata awindwe na kutaka kuuwawa..?
➡Nani anayeweza kushindwa kutambua mara moja tu kuwa...
Boniface Mwabukusi. Rais na TLS ameandika kupitia ukurasa wake wa X:
"Nimemtembele Father Dr. Charles Kitima. Hakika lilikuwa shambulio baya lenye lengo la kudhulumu maisha.
Mungu ni mwema sana anaendelea vizuri.
Huu ni Ujumbe wake kwetu....
Lazima Tuwe Imara kusimamia masuala ya Msingi...
Kwa maoni ya wengi ni kwamba shambulio la Fr. Kitima lina uhusiano wa moja kwa moja na matamko yake dhidi ya dhuluma wanazofanyiwa wananchi wakati wa uchaguzi.
Sote tunajua ni nani ndio wahusika wakuu kwenye dhuluma hizo. Na kwa kuwa hawa wadhulumaji wana mamlaka makubwa ya kidunia, kila...
Salaam, Shalom!
Nina uzoefu wa kuuguza wagonjwa,
Mgonjwa akitembelewa kujuliwa Hali na mtu mwema,Roho safi mtu wa haki, tabasamu na Roho ya matumaini huingia kwa mgonjwa na kupata nafuu ya ghafula Kisha uponaji wa haraka hutokea.
Likewise, mtu mwovu aliyeshiriki kwa namna moja au ingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.