ezekiah wenje

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    PostGE2025 Ezekiah Wenje: Waliogombea Urais Tanzania hawakupinga ushindi wa Samia

    Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA na Mbunge wa Nyamagana, Ezekiah Wenje, amesema kuwa uchaguzi mkuu uliofanyika nchini Tanzania uliendeshwa kwa utulivu mkubwa katika maeneo mengi, akibainisha kuwa wagombea wote 17 wa Urais hawakuwahi kupinga matokeo ya uchaguzi wa Rais ambapo Dkt. Samia Suluhu...
  2. McLaren

    GE2025 Ezekiel Wenje: Ukiona miezi 3 mwanaume yupo gerezani na mke hajamtembelea, ujue sio kiongozi

    Wakuu, Ezekiah Wenje, Kwenye kampeni za Chama Cha Mapinduzi CCM kwenye Viwanja vya CCM Buza, Temeke Mkoani Dar Es Salaam Oktoba 23, 2025 alisema: Leo nataka niwakere, uongozi unaanza kwenye familia, ukiona baba wa familia yupo gerezani zaidi ya miezi mitatu na mke hajawahi kwenda kumuona wala...
  3. Mafyangula

    GE2025 Wenje: Kile Chama kinashinda kwenye mitandao toka asubuhi, hawana mipango, hawana mikakati

    "kile Chama kinashinda kwenye mitandao toka asubuhi, mchana na usiku na kazi yao ni kutukana, hawana mipango, hawana mikakati- wamegota. Mimi ninaamini katika taifa tunapaswa kutofautiana kwenye sera za kilimo, afya, maji lakini linapokuja suala la ulinzi na usalama na amani ya nchi yetu hilo ni...
  4. R

    GE2025 Wenje: Chama kinachosusia uchaguzi ni cha fujo, nimepata wokovu CCM

    Wenje tangu ahamie CCM amecharuka zaidi :Alien: :Alien::Alien: Vituko vinaendelea huko Wenje anasema amepata wokovu CCM leo hii anaiponda CHADEMA eti ni hawana mipango wanashinda Mtandaoni kazi yao nge nge nge nge nge Uchawa ni mbaya yaani kama vile siyo Wenje wa enzi zile -----------...
Back
Top Bottom