Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, amewataka viongozi wa Maafisa Usafirishaji na Wamachinga kuunda timu maalum itakayozunguka katika vijiwe vya bodaboda na maeneo ya wafanyabiashara kutoa elimu juu ya umuhimu wa kudumisha amani.
Hayo ameyabainisha leo katika kongamano la Maafisa...
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, amewataka viongozi wa Maafisa Usafirishaji na Wamachinga kuunda timu maalum itakayozunguka katika vijiwe vya bodaboda na maeneo ya wafanyabiashara kutoa elimu juu ya umuhimu wa kudumisha amani.
Hayo ameyabainisha leo katika kongamano la Maafisa...
"Nendeni mkawaambie kwamba ni nchi gani duniani inawapa watu wake mikopo isiyo na riba?. Wakaangalie, mara nyingi wanapenda ku- google vitu ambavyo vinavunja amani, wa- Google sasa vitu ambavyo vinajenga amani yetu"- amesema Mkuu wa Wilaya ya Ilala Edward Mpogolo
Octoba 4, 2025 Mkuu wa wilaya...
Mkuu wa Wilaya ya Ilala na Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wilayani humo, Edward Mpogolo, amesema kiongozi wa serikali hawezi kutenganishwa na utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kuwa ndiyo msingi wa kazi alizopewa kusimamia.
“Wewe ni kiongozi wa serikali, unasimamia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.