doyo hassan doyo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. PAYE

    GE2025 Mgombea Urais NLD, Doyo: Watanzania msithubutu kuandamana mtachafua nchi

    Mgombea Urais wa Tanzania kupitia chama cha NLD, Doyo Hassan Doyo amewasihi Watanzania kufanya uchaguzi kwa amani na kutoshiriki maandamano. "Nchi inapokuwa na watu welevu, inakuwa na kelele. Rai yangu kwa Watanzania wasithubutu kutoka kuandamana; watachafua nchi."
  2. R

    GE2025 Mgombea Urais NLD, Doyo Hassan aahidi kuondoa mfumo wa Kikokotoo

    Mgombea urais kupitia Chama cha NLD, Doyo Hassan Doyo,alieleza mfumo wa sasa unaotumika kuwapangia wastaafu na watumishi wa umma matumizi ya fedha zao baada ya kustaafu ni dharau na unaowafanyia wastaafu uonevu Akizungumza Oktoba 22,2025 na wananchi wa Wilaya ya Kigamboni kwenye mkutano wa...
  3. R

    GE2025 Mgombea urais NLD, Doyo Hassan aahidi kurejesha reli ya Masasi-Dar es Salaam

    Mgombea urais kupitia Chama cha NLD, Doyo Hassan Doyo, amesema ikiwa wananchi watampa ridhaa ya kuwa rais serikali yake itarejesha reli ya kutoka Masasi (Mtwara) - Dar es Salaam ambayo ilisitisha shughuli zake 1972 Akizungumza Oktoba 21, 2025 katika mkutano wa kampeni na wananchi wa Wilaya ya...
  4. PAYE

    GE2025 Doyo wa NLD: Mkinichagua, nitapunguza posho za wabunge hadi Tsh 70,000 na mshahara, fedha kuelekeza kwenye afya, ualimu na askari

    Chama cha NLD kimeahidi kupunguza posho za wabunge na badala yake fedha hizo zitaelekezwa katika kuongeza huduma za afya pamoja na kupandisha mishahara ya kada ya ualimu na askari. Ahadi hiyo imetolewa na mgombea Urais wa chama hicho Doyo Hassan Doyo wakati akizungumza na wakazi wa Kibamba, Dar...
  5. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Doyo Hassan Doyo aahidi kupitia upya mikataba ya uwekezaji katika sekta ya madini

    Mgombea urais kupitia Chama cha NLD, Doyo Hassan Doyo ameahidi kuwa endapo wananchi watampa ridhaa ya kuongoza Taifa, atapitia upya mikataba ya uwekezaji katika sekta ya madini nchini ili kuhakikisha kila Mtanzania ananufaika na uwepo wa rasilimali za madini. Amesema mchakato huo utafanyika...
  6. R

    GE2025 Doyo: Tutajenga SGR inayounganisha Kagera na nchi jirani Uganda na Rwanda kuchochea Biashara

    Mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha NLD, Doyo Hassan Doyo ameendelea kujinadi kwa Watanzania akieleza dhamira yake ya kufungua fursa za kibiashara kwa kujenga Reli ya Kisasa (SGR) hadi Kagera pamoja na kununua ndege ya mizigo. Kwa sasa, reli hiyo ya kisasa imejengwa kutoka Dar es Salaam hadi...
  7. Mafyangula

    GE2025 Doyo: Nikishika dola nitaivunja Bodi ya Pamba imekuwa kichocheo cha walanguzi wanaoathiri soko la pamba

    Wanasiasa wanasipidii kweli! Kwani kuivunja ndio soluhu? Kuliko kuiboresha zaidi na iwe imara na kuleta faida kwa wakulima wa zao hilo na nchi pia katika kuongeza pato =============== Mgombea Urais wa Chama cha NLD, Doyo Hassan Doyo, amesema chama chake kitaleta mageuzi makubwa kwenye sekta ya...
  8. Poppy Hatonn

    Doyo Hassan Doyo afika Butiama.

    Mgombea urais kwa tiketi ya NLD, National League for Democracy,Bw. Doyo Hassan amefika Butiama leo. Alipokelewa na Madaraka Nyerere na Andrew Nyerere. Ametembelea kaburi,ameonyeshwa residence ya Chief Nyerere Burito.
  9. tonicimmobility

    GE2025 Doyo: Mama yangu kukamatwa na polisi kisa kodi kumenipelekea niingie kwenye siasa

    Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha National League for Democracy (NLD), Doyo Mohammed Doyo amesema kuingia kwake kwenye siasa si kwa sababu ya baba yake kuwa mwanasiasa bali ni maumivu aliyoyapitia akiwa mdogo. Soma pia: Helbeth Mlelwa anadaiwa kukamatwa na...
  10. Roving Journalist

    GE2025 Mapokezi ya Mgombea Urais kupitia NLD, Doyo Hassan Doyo Mkoani Tanga, Septemba 4, 2025

    Mapokezi ya Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Doyo Hassan Doyo, leo Septemba 4, 2025 alielekea katika Viwanja vya Stendi ya Pangani, jijini Tanga, ikiwa ni sehemu ya uzinduzi wa kampeni za chama NLD.
  11. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Doyo Hassan: Matarajio yangu ni kuiangusha CCM

    Mgombea Urais kupitia Chama cha National League for Democracy, Doyo Hassan Doyo Akizungumzia Moja ya Sababu Iliyomfanya Agombee Kiti Cha Urais na matarajio yake ni kuiondoa CCM madarakani Soma Pia: Mgombea wa nafasi ya urais kupitia chama cha (NLD) Doyo amefika kuchukua fomu akiwa na Bajaj
  12. DuaZaMama

    GE2025 Mgombea wa nafasi ya urais kupitia chama cha (NLD) Doyo amefika kuchukua fomu akiwa na Bajaj

    Mgombea wa nafasi ya urais kupitia Chama cha National League , Doyo Hassan Doyo akiwa na msafara wake amefika katika ofisi za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Ndejengwa Jijini hapa akiwa ndani ya bajaji. Doyo ametinga katika viunga hivyo leo Jumapili, Agosti 10, 2025 saa 5:29 asubuhi...
  13. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Doyo Hassan: Rais Samia amefanya kazi nzuri sana, lakini mimi nitagombea Urais dhidi yake kwani ni haki ya kikatiba

    Kupitia kipindi cha One on One with Doyo Hassan Doyo, Mgombea Urais wa Tanzania 2025 kupitia chama cha NLD amesema ingawa Rais Samia Suluhu Hassan amefanya kazi nzuri sana katika uongozi wake lakini yeye atagombea Urais dhidi yake kwani ni haki yake kikatiba. Soma Pia: Hassan Doyo achukua Fomu...
  14. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Katibu Mkuu wa NLD Doyo Hassan atangaza nia ya kugombea Urais katika uchaguzi mkuu 2025

    Katibu Mkuu wa Chama cha National League for Democracy (NLD), Doyo Hassan Doyo ametangaza nia ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hiyo katika uchaguzi utakaofanyika baadaye mwaka huu, huku akiahidi kuleta mageuzi katika sekta mbalimbali nchini. Kupata...
  15. Cute Wife

    PreGE2025 Katibu Mkuu NLD ampongeza Rais Samia kwa 4R zilizoleta matumaini kwa vingine vya siasa, awaasa wapinzani kufata sheria wakati wa uchaguzi

    Wakuu, Vyama vya kusindikiza na kukamilisha ratiba. Katibu Mkuu wa Chama Cha National League of Democracy (NLD) Doyo Hassan Doyo amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuleta sera ya 4R ambayo imeleta matumaini kwa vyama vingine vya kisiasa. Akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa...
  16. Roving Journalist

    Doyo Hassan Doyo ataka uchaguzi wa Chama cha ADC urudiwe, akata rufaa

    Doyo Hassan Doyo ambaye alikuwa akiwania nafasi ya kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) amesema amekata rufaa kuping matokeo ya uchaguzi wa nafasi hiyo akidai kuna vitu havikwenda sawa na anataka uchaguzi urudiwe
Back
Top Bottom