dini za wazungu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Yoda

    Ilikuwaje dini za Afrika zikafutwa kirahisi kabisa na dini za Wazungu na Waarabu?

    Bara la Africa ndipo ambapo dini za wazungu na Waarabu za Ukristo na Uislamu ziliweza kufuta kabisa dini za wenyeji na kuchukua nafasi kama dini kuu mpya. Jambo hili halikuwezekana kwa mataifa ya kale kama China, Japan na India pamoja na mengine kama Vietnam, Korea, Nepal, Thailand, Mongolia n.k...
  2. H

    Kwanini wazungu na warabu wanataka waafrika kufuata Dini zao, inamaana Mungu wa waafrika ni mjinga kuwaumba katika Uafrika wao?

    Hili nalo linafikirisha sana. Je kuna ulazima gani wa waafrika kulazimika kuwa Waislam, Wakristu au Waarabu wakati Mungu wa watu wote aliwaumba ktk uafrika wao na katika asili na mila zao? Je, Mungu huyo hakuwa na akili timamu? Waafrika ni ujinga gani huu?
  3. A

    Dini siyo mila za Kizungu wala Kiarabu

    Habari wakuu, Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la kampeni kubwaa sana ya kupinga Vita dini na kusema dini ni vitu vya kuletwa na majahzi tu zisifuatwe, na maneno haya utakuta wanaoongea wala siyo atheists bali ni watu wanaoamini katika Mungu sema tu wanadai kuwa mfumo wa kumuabudu...
Back
Top Bottom