dawa za arv

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. DR Mambo Jambo

    Utafiti wabaini masalia ya ARV kwenye Nyama za Nguruwe na Kuku wa kisasa kwenye wilaya 9 Tanzania

    Tafiti hii imebaini kuwa kuna matumizi mabaya ya dawa za kupunguza makali ya VVU (ARVs) ambazo kimsingi zimekusudiwa kwa matumizi ya binadamu pekee, sasa zimekuwa zikitumika kulishia wanyama kama kuku, nguruwe na ng’ombe katika baadhi ya maeneo ya Tanzania. Tabia hii siyo tu kuwa ni kinyume na...
  2. Mindyou

    Trump asimamisha misaada kwa nchi nyingine kwa siku 90 ili kupitiwa upya. Tanzania nayo kuathirika

    Wakuu, Utawala mpya wa Rais wa Marekani Donald Trump umesitisha na kuzuia misaada ya kimarekani kwa nchi za kigeni. Marco Rubio ambaye ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani ameripotiwa kutuma barua kwenye balozi zote duniani kusitisha miradi ya maendeleo ambayo inafadhiliwa na Marekani ndani...
  3. J

    Profesa Tibaijuka: Trump kusitisha misaada ARVs zitaadimika Afrika. African Union iitishe kikao maalum kuweka mkakati

    Mbunge wa zamani wa Muleba, Prof Tibaijuka amesema kitendo cha Rais Trump wa US kusimamisha msaada ya kimataifa kitaleta Kiama Tanzania na Afrika Pia soma > Trump asimamisha misaada kwa nchi nyingine kwa siku 90 ili kupitiwa upya. Tanzania nayo kuathirika Trump amezuia misaada ya sekta za afya...
  4. G

    Haijalishi umepania namna gani, waza mara mbili. Hakuna kitu kinauma kama kumeza dawa za ARV kila siku maisha yako yote

    Ujumbe maridhawa kwa jukwaa linaloongoza kwa wasomaji na wachangiaji. Haijalishi umepania namna gani, Think Twice. Hakuna kitu kinauma kama kumeza dawa za ARV kila siku maisha yako yote, UMEME UPO! Msijisahaulishe
Back
Top Bottom