Tafiti hii imebaini kuwa kuna matumizi mabaya ya dawa za kupunguza makali ya VVU (ARVs) ambazo kimsingi zimekusudiwa kwa matumizi ya binadamu pekee, sasa zimekuwa zikitumika kulishia wanyama kama kuku, nguruwe na ng’ombe katika baadhi ya maeneo ya Tanzania. Tabia hii siyo tu kuwa ni kinyume na...
Wakuu,
Utawala mpya wa Rais wa Marekani Donald Trump umesitisha na kuzuia misaada ya kimarekani kwa nchi za kigeni.
Marco Rubio ambaye ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani ameripotiwa kutuma barua kwenye balozi zote duniani kusitisha miradi ya maendeleo ambayo inafadhiliwa na Marekani ndani...
Mbunge wa zamani wa Muleba, Prof Tibaijuka amesema kitendo cha Rais Trump wa US kusimamisha msaada ya kimataifa kitaleta Kiama Tanzania na Afrika
Pia soma > Trump asimamisha misaada kwa nchi nyingine kwa siku 90 ili kupitiwa upya. Tanzania nayo kuathirika
Trump amezuia misaada ya sekta za afya...
Ujumbe maridhawa kwa jukwaa linaloongoza kwa wasomaji na wachangiaji.
Haijalishi umepania namna gani, Think Twice. Hakuna kitu kinauma kama kumeza dawa za ARV kila siku maisha yako yote,
UMEME UPO! Msijisahaulishe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.