dabi ya kariakoo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Simba yapewa ruhusa rasmi kufanya mazoezi ya mwisho Uwanja wa Mkapa kuelekea Dabi Juni 15

    Klabu ya Simba imeruhusiwa kufanya mazoezi uwanja wa Benjamin Mkapa tarehe 14 Juni 2025, siku ya Jumamosi ambayo ni siku moja kabla ya mechi ya 'DABI' dhidi ya Yanga SC. Wizara ya Habari Sanaa Utamaduni na Michezo imewaandikia barua hiyo hapo juu klabu ya Simba ambayo ndiyo klabu mgeni kwenye...
  2. P

    TFF na bodi ya ligi,ushauri wa bure kuelekea mechi ya dabi 15 June 2025

    Kwa hili sakata linavyoendelea,nikiwa mpenzi wa mpira hasa wa Tanzania nawaomba sana TFF na bodi ya ligi suala la mechi ya yanga na simba lifungwe pazia lake siku hiyo iwe yanga waje uwanjani au wasije uwanjani kanuni zifuate mkondo wake! Ukweli ni kwamba yanga Wana lao jambo,suala la...
  3. Mbunge ambana Waziri Dabi ya Kariakoo Bungeni

    "...Ligi yetu inaelekea mwisho lakini kumekuwa na mvutano wa hizi timu mbili na Viongozi wa TFF, ipi kauli ya Serikali...." Mbunge wa Makete - Festo Sanga.
  4. W

    Naona bodi ya ligi kuu ikienda kuhairisha dabi ya tarehe 15 kwa mara ya pili tena masaa machache kabla ya mchezo

    Naona bodi ya ligi kuu ikienda kuhairisha dabi ya tarehe 15 kwa mara ya pili tena masaa machache kabla ya mchezo
  5. Yanga yashikilia msimamo wake wa kutocheza derby ya Kariakoo 15/6/2025

    TAARIFA KWA UMΜΑ JUNI 09, 2025 Uongozi wa Young Africans Sports Club, unapenda kuutarifu umma kuwa, tarehe 7 Juni, 2025 tulipokea barua kutoka Bodi ya Ligi Kuu Tanzania kwa ajili ya kuhudhuria kikao maalum cha kujadili masuala yahusuyo mchezo namba 184 wa Ligi Kuu ya NBC, YANGA dhidi ya Simba...
  6. W

    Inakuwa ngumu kuamini kwa mara ya kwanza watanzania wanazungumzia zaidi siasa wakati Derby ya Simba na Yanga iliyojaa ukakasi inakaribia

    Sio Tanzania niliyoizoea hii, Tanzania nayoijua inapokaribia Derby Talk of the town huwa ni Simba na Yanga. Tena hii derby inayokaribia imejaa ukakasi kama itachezwa au lah, kuna kiu ya kuona TFF watatoa maamuzi gani, kurahisisha kwa maneno machache, Tanzania niliyozoea ilibidi kuwe na debates...
  7. M

    Serikali ikianza kukwepa majukumu yake ndiyo huzaa changamoto kama za hii ya dabi ya kariakoo

    Serikali ikianza kukwepa majukumu yake na kukimbilia vitu vya kisiasa visivyo na maana mtu masikini hugeuka kuwa kama mpira wa kona. Mwl Nyerere alishaonya kwenye moja ya hotuba zake za mwaka 1995 kuwa serikali ikiwa corrupt ( serikali ya wala rushwa) watu masikini hawanaa kitu kabisa kwenye...
  8. U

    Tetesi: Za ndaani: TFF kutumia staili ya Zamaleki vs Al ahly sakata la Derby

    Nimepata habari za chini chini kuwa , Bodi ya Ligi inapanga kutumia staili na busara iliyotumika katika derby ya Al ahly na Zamaleki. Bodi ya Ligi Haina mpango wa kumpokonya Yanga point 15. Kwa ufupi Al ahly aligomea mchezo wake wa Derby dhidi ya Zamaleki, na Kwa taratibu zao ilipaswa Zamaleki...
  9. W

    Hakuna mwanaSimba anayeombea Yanga wacheze 15 Juni, wakicheza kuna hatari kubwa ya kumaliza msimu bila kombe lolote

    Hii sio meme, ndio hali halisi, Kama hata Singida walishinda 3 tena kwa huruma ya Refa kupunguza magoli, jambo la msingi ni kuwaombe Yanga washikilie msimamo wao "HATUCHEZI" vinginevyo kuna aibu Kombe la CAF shirikisho ❌ Kombe la FA ❌ Kombe la ngao ya Hisani ❌ Kombe la mapinduzi ❌ Kombe la...
  10. Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo asisitiza dabi ya Kariakoo iko palepale

    Wakuuu Serikali inasisitiza Dabi iko palepale, ile kauli ya 'HATUCHEZI' imeishia wapi? == Serikali imethibitisha rasmi kuwa pambano kubwa la watani wa jadi Yanga dhidi ya Simba litapigwa kama ilivyopangwa, Juni 15, 2025, kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Katika kipindi cha...
  11. Simba SC ikicheza na hatuchezi sports club (Yanga) siku za Jumapili huwa ana 95% za Ushindi, 4% za Sare / Suluhu na 1% ya Kufungwa

    Sijajua hasa tarehe ya Mechi ya Simba SC na HATUCHEZI SPORTS CLUB ni lini ila ni Siku iliyobarikiwa ya Jumapili wameisha.
  12. Jangwani wafuka moshi Wa kijani, Viongozi Wa matawi wahoji TFF na Bodi ya Ligi wanapangaje tarehe ya Mchezo wakati report ya uchunguzi haijawakilishwa

    Yanga Sc kupitia viongozi wa Matawi mbalimbali kutoka jijini Dar Es Salaam wamekutana makao makuu ya klabu yao Jangwani leo hii Mei 10/2025 huku wakiziuliza mamlaka za soka nchini kuwa wanapangaje tarehe mpya mchezo wakati hawajaja na taarifa ya uchunguzi juu ya mchezo ulioahirishwa Machi...
  13. Kama Yanga wapo serious waache kuwazubaisha washabiki wao waiandikie bodi ya ligi barua kuwa wasiweke ratiba yao ya tarehe 15

    Uogozi wa Yanga wamepewa taarifa pamoja na timu zingine ratiba ya michezo iliyobaki Sasa kama wapo serious kweli waandike barua TFF kuwa hawapo tayari kucheza mechi ya tarehe 15 kama kweli wanamaanisha.
  14. Tetesi: Intelijensia ya Dola, inawatumia Yanga kujifanya wanasusia Derby , ili baada ya Kumwachia LISSU , Yanga ijifanye kusema Itacheza Derby!

    Hao ndo watu walokabidhiwa mamlaka kuhakikisha Usalama wa Uchumi, Kisiasa, Kijamii na kiulinzi kwa Taifa la Tanzania. Ila maajabu wanawaza maigizo ya kijinga Jinga , wanaotumia Yanga ijifanye Haichezi Derby wakijua watanzania wanapenda Mpira. Siku wakimuachia LISSU, Yanga ijifanye kusema...
  15. Endapo timu mgeni akienda uwanjani June 15 Mashabiki wa Yanga waahidi kufanya vurugu, Je bodi ya Ligi haioni hatari za kiusalama na kuahirisha mchezo?

    Kama zilivyokuwa sababu za kuahirisha mchezo tarehe 8, Ndivyo itakavyokuwa tarehe 15, Licha ya Yanga kusema "HATUCHEZI" lakini pia tutafanya vurugu kwa yeyote atakayeleta timu uwanjani. Mabaunsa pia watakuwepo kabla ya tarehe hiyo kuzuia na kuikabili timu yoyote itakayoleta pua uwanjani. Je...
  16. C

    Ujinga wa bodi ya ligi ulianza pale walipopuuza malalamiko ya Simba

    Simba walipoenda kufanya mazoezi,walikutana na watu waluojulikana kama mabaunsa. Walitoa taarifa ya malalamiko yao siku ile ile. Bodi ya ligi walikuwepo na walipaswa kupitia mwakilishi wao kutoa taarifa polisi ili wale wahuni wakamatwe. Huenda walitoa taarifa polisi na huenda kwa sababu polisi...
  17. Namna bodi ya ligi anavyotaka kumbebesha msalaba wake yanga - Sehemu ya kwanza

    NAMNA BODI YA LIGI ANAVYOTAKA KUMBEBESHA MSALABA WAKE YANGA - SEHEMU YA KWANZA. Wakati Simba Sports Club imechapisha taarifa ya kugomea mchezo wa Derby walikuja na sababu zao na chini kabisa Klabu ikasema “Uchunguzi ufanyike na Wahusika wakuchukuliwe hatua kali za Kisheria” naaam na Bodi ya...
  18. Je, kweli Yanga wenye akili ni wawili tu? Kuna mwana Yanga hapa anayeweza akatuelezea kinaga ubaga kwanini wanakusudia kususa derby?

    Habari wakuu. Mimi si Mtabiri. Ila nimesikia na nimeona baadhi ya mashabiki na viongozi wana dalili za kususia mchezo No 184 Wa Kariakoo Deby uliopangwa ufanyike hapo Temeke Dar es salaam mnamo tarehe 15 June 2025 saa 01:00 jioni. Je, kama JamiiForums kuna Home of Great thinkers kuna...
  19. C

    Haya ndiyo matokeo ya serikali kujaribu kuisaidia Yanga ishinde kwa mbinu

    Serikali ina haha kujaribu kuzima mgomo wa Yanga kucheza mechi ya derby iwapo itapangwa tena. Ukiangalia chanzo ni serikali kujaribu kuisaidia Yanga ishinde ubingwa kirahisi na kwa mbinu nje ya uwanja. Kitendo cha meneja wa uwanja kugoma kuwafungulia Simba kufanya mazoezi na kusafisha...
  20. Mangungu: Kikao chetu Simba tumejadili maendeleo ya mpira, siyo mjadala wa mechi ya dabi

    Murtaza Mangungu mwenyekiti wa Simba SC baada ya kutoka Kikaoni na Serikali, TFF na Bodi ya Ligi amesema; "Kikao chetu sisi kimejadili maendeleo ya mpira hakijajadili walichojadiana na wenzetu, tungejadili mechi yetu tungeitwa kwa pamoja ila mamlaka si ilishasema mechi yetu itapangiwa tarehe...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…