1. Mbarouk Juma Khatib - MBUNGE WA BUMBWINI
Chama: CCM
Alishinda Kiti: Mwaka 2020, kwa kura 11240
Historia ya Elimu
Makoba Primary School: CPEE, 1975 - 1982
Uzoefu wa Kisiasa
Chama Cha Mapinduzi: Mjumbe wa Mkutano Mkuu Wilaya ya Kaskazini B Unguja: 2016 - Hadi sasa
Parliament of Tanzania...
1. Salim Mussa Omar - MBUNGE WA GANDO
Chama: CCM
Alishinda Kiti: Mwaka 2020, kwa kura 3390
Historia ya Elimu
Diploma University of Dar-es-Salaam Computing Center 2011 - 2013
Certificate University of Dar-es-salaam Compuntig Center 2009 - 2010
Gando Secondary School: 2002 - 2006
Gando Primary...
1. Ramadhan Suleiman Ramadhan - Mbunge wa Chakechake
Chama: CCM
Alishinda Kiti: Mwaka 2020, kwa kura 4136
Historia ya Elimu
Madungu Primary School and Michakaini Secondary School: CPEE, 1992 - 1999
Shamiani Secondary School:, 2000 - 2005
Nyuki Secondary School:2007 - 2009
The Zanzibar...
1. Haji Makame Mlenge - MBUNGE WA CHWAKA
Chama: CCM
Alishinda Kiti: Mwaka 2020, kwa kura 7563
Historia ya elimu
Ukongoroni Primary School: CPEE, 1977 - 1985
Mikunguni Technical Secondary School: CSEE, 1986 - 1989
Karume Technical College: Certificate, 1990 - 1993 (FTC)
Institute of Commercial...
1. Mwantakaje Haji Juma - MBUNGE WA BUBUBU
Chama: CCM
Alishinda Kiti: Mwaka 2020, kwa kura 7563
Historia ya elimu
- Pwani Mchangani Secondary School: CSEE: 1986 - 1988: Secondary School
- Pwani Mchangani Primary School: CPEE: 1978 - 1985: Primary School
Uzoefu wa Kisiasa
Chama Cha Mapinduzi...
Wakuu,
1. Ezra John Chewelsea – Mbunge wa Biharamulo Magharibi
Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Kura katika Uchaguzi wa 2020: 40,526 (alishinda dhidi ya Mbelwa Petro Zimbia wa CHADEMA)
Elimu
Shule ya Msingi Umoja (1995)
Shule ya Ufundi ya Bwiru Boys, Mwanza (CSEE, 1999)
Shule ya Sekondari ya...
Wakuu,
1. Deus Clement Sangu – Mbunge wa Kwela
Chama Cha Siasa: Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Matokeo ya Uchaguzi wa 2020: Alishinda kwa kura 48,918, akimshinda Ngogo Naftal Daniel kutoka CHADEMA ambaye alipata kura 23,542.
Teuzi ya Serikali: Aliteuliwa kuwa Naibu Waziri, Ofisi ya Rais...
Wakuu,
1. Muharami Shabani Mkenge: Mbunge wa Bagamoyo
Nafasi ya Sasa
Mbunge wa Jimbo la Bagamoyo, akiwakilisha Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Uchaguzi wa 2020:
Alishinda kwa kura 23,159, akimshinda Maembe Vitali Mathias kutoka ACT Wazalendo...
Wakuu,
1. Geoffrey Mizengo Pinda – Mbunge wa Kavuu
Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Kura katika Uchaguzi wa 2020: 41,401 (alishinda dhidi ya Stephen Mertus Hamis wa CUF aliyejipatia kura 2,920)
Elimu
Ndurumo Primary School (1977-1983)
Mgulani JKT Secondary School (1992-1995)
Diploma kutoka...
Wakuu,
1. Isack Francis Mtinga - MBUNGE WA IRAMBA MASHARIKI
Tarehe ya Uchaguzi (2020): Alipata kura 35,457
Elimu
Shahada ya Sayansi ya Chakula na Teknolojia, Chuo Kikuu cha Sokoine (1999-2003)
Mchango katika Siasa
Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Singida
Mjumbe wa Baraza Kuu la UVCCM
Kamishna...
Wakuu,
1. Assenga Abubakar Damian - MBUNGE WA KILOMBERO
Uchaguzi
Jimbo: Kilombero, Morogoro
Chama: Chama cha Mapinduzi (CCM)
Kura: 51,452 (2020)
Elimu
Shule ya Msingi Madukani (1991-1997)
Cheti cha Ufundi Magari, Ifakara...
Wakuu,
1. Selemani Jumanne Zedi - MBUNGE WA BUKENE
Utangulizi
Mbunge wa Jimbo la Bukene mkoani Tabora.
Alishinda uchaguzi wa 2020 kwa kura 16,920.
Aliwashinda wapinzani, wakiwemo Steven Maziku Kahumbi wa CHADEMA aliyepata kura 14,373.
Elimu
Elimu ya Msingi: Shule ya Msingi Kurasini...
Wakuu,
1. Saashisha Elinikyo Mafuwe – MBUNGE WA HAI
Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Elimu:
Uduru Primary School (1991-1997)
Kivukoni Secondary School (1999-2002)
St. Augustine University (2010, Bachelor's degree)
University of Dodoma (2013, Master's degree)
Public Service College (2016)...
Wakuu,
1. Festo Sanga - MBUNGE WA MAKETE
Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Elimu:
Shule ya Msingi ya Bulongwa (1996-2002, CPEE)
Shule ya Sekondari ya Mwakavuta (2003-2006, CSEE)
Shule ya Sekondari ya Lufilyo (ACSEE)
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (2012, Bachelor's of Arts in Education)
Kura...
Wakuu,
1. Atupele Fredy Mwakibete - Mbunge wa Busokelo
Chama: CCM
Uchaguzi (2020): Alipata kura 79,950 (alishinda kwa wingi)
Elimu:
Shule ya Msingi: Gerezani (1994-2000)
Sekondari: Azania (2001-2004), Galanos (2007)
Shahada ya Sayansi ya Kompyuta (IFM, 2007-2010)
Shahada ya Uzamili ya...
Wakuu,
1. Issa Ally Mchungahela - Mbunge wa Lulindi
Chama: CCM
Muda wa Uongozi: 2020-2025
Nafasi Nyadhifa Alizowahi Kushika:
Mjumbe wa Kamati ya Viwanda, Biashara na Mazingira (2021-2023).
Matokeo ya Uchaguzi 2020:
Alipata kura 27,515.
Aliyemfuatia: Bwanausi Dismas Jerome (ACT Wazalendo) -...
Wakuu,
MBUNGE WA ARUMERU MAGHARIBI - Noah Lemburis Saputi Mollel
Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Elimu:
Shule ya Msingi Olturumet (1986)
CSEE, Shule ya Sekondari Ilboru (2012)
Cheti cha Sheria, Chuo Kikuu cha Mount Meru (2016)
Diploma ya Sheria, Chuo Kikuu cha Mount Meru (2017)
Shahada ya...
Wakuu,
Wabunge wa Dar es Salaam: Elimu, Safari za Kisiasa, na Majukumu
1. Jerry Slaa - Mbunge wa Ukonga
Chama: CCM
Uchaguzi wa 2020: Kura 120,936 dhidi ya Asia Daudi Msangi (CHADEMA) aliyepata kura 21,634.
Elimu:
Shule ya Msingi Ukonga
Sekondari ya Pugu na Jitegemee (Advance Level)
Shahada ya...
Wakuu,
Eric Shigongo - MBUNGE WA BUCHOSA
Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Kura: 20,581
Mpinzani: Mwambino Julius Isack (CHADEMA) – 11,285
Elimu: Shahada ya Uhusiano wa Umma (Public Relations) kutoka Tumaini University (2020)
Biashara: Mmiliki wa Global Publishers Ltd, Global Radio Ltd, Global...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.