Coastal Union is a Tanzanian football club based in Tanga.They play in the top level of Tanzanian professional football, the Tanzanian Premier League.Their home games are played at Mkwakwani Stadium. And are officially sponsored by Binslum Tyre, Anjari Q, Masamaki Modern Butchares.
Uongozi wa Klabu ya Mpira wa Miguu - Coastal Union umefikia makubaliano ya pande zote ya kusitisha kandarasi na Kocha Mkuu Ali Mohammed Ameir.
Klabu inamshukuru Mwalimu Ali Mohammed Ameir kwa mchango wake uliotukuka kwa kipindi chote alichoiongoza timu yetu.
Uongozi wa Coastal Union...
Mjumbe wa Kamati ya Siasa Mkoa wa Tanga, Omar Ayoub amechukuwa fomu ya kuomba ridhaa kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) kugombea ubunge Jimbo la Tanga.
Ayoub ambaye ni Katibu Mkuu wa Timu ya Coastal Union amekabidhiwa fomu leo na Katibu wa CCM Wilaya ya Tanga, Jamal Abas.
Joseph Lazaro, beki wa zamani wa kushoto wa Coastal Union akiwa msaidizi wa marehemu Douglas Mhani enzi zile za marehemu Hamis Makene, benchi akiwa Mohamed Mwameja, kulia Saidi Kolongo, kushoto Douglas Mhani, nne Yassin Abuu Napili na sentahafu marehemu Idrisa Ngulungu, sita pale alikuwa...
FULL TIME - Friendly Match
Coastal Union 1️⃣ ➖ 2️⃣ Taifa Stars
⚽️ Kibu Denis
⚽ Kibu Denis
⚽ Amara Bagayoko
Naona Kabisa timu ya Taifa stars haipo serious huwezi kufanya maandalizi na coastal union na Kisha uende kuchuana kimataifa tena na timu zenye uchu kweli kweli Wa kutoboa kuingia kwenye...
Coastal Union VS Simba SC
| NBC Premier League
| Sheikh Amri Abeid Arusha
| March 1, 2025
Soma Pia: FT: Simba SC 2-2 Costal Union | NBC Premier League | KMC Complex | 4 Octoba, 2024
Updates....
Mpira umeanza
Dakika, 19 milango yote ni mingumu si Coastal wala Simba
Dakika, 21 mashambulizi...
Simba SC is a Tanzanian football club based in Dar es Salaam. Their home games are played at two stadiums Uhuru Stadium and National Stadium. Simba SC is one of two biggest football clubs in Tanzania, their archrivals being the Young Africans. The club had several names during its history, when...
Kikosi cha Simba kimeondoka jijini Dar es Salaam leo asubuhi kuelekea jijini Arusha kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Coastal Union utakaopigwa keshokutwa Jumapili kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid.
Simba yenye pointi 51 inahitaji ushindi katika mchezo huo ili kuendelea kuipa upinzani...
Klabu ya Coastal Union imemtambulisha mshambuliaji mpya raia wa Mali, Amara Bagayoko.
Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 26 amesajiliwa kama mchezaji huru mara ya mwisho akiichezea Asko Kara msimu wa 2023/24 katika Ligi Kuu ya Togo akifunga mabao 19.
Tayari nyota huyo amewasili nchini na...
Timu ya Coastal Union imepokea barua rasmi ya Klabu ya Yanga kumuhitaji beki wa kati Lameck Lawi, Coastal Union inataka millioni 250 kama ada ya usajili wa Lameck Lawi kutoka Yanga.
Soma, Pia: Simba wakubali yaishe kwa Lameck Lawi, aanza kwenye kikosi cha Coastal Union dhidi ya Mashujaa FC...
Klabu ya Coastal Union imethibitisha kuvunja mkataba na aliyekuwa mlinda mlango wao, Ley Ngumbi Matamp ambaye alikuwa golikipa bora wa msimu wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania bara msimu uliopita kwa makubaliano ya pande zote mbili.
Taarifa ya leo Desemba 10, 2024 ya leo kupitia ukurasa rasmi wa klabu...
Anaitwa Greyson sijui Grayson Gwalala kiungo mkatashombo wa Coastal Union ya Tanga, jana amekuwa man of the match kwenye mechi dhidi ys Singida Big Stars yenye viungo wa kimataifa waliooonyesha ufundi wa hali ya juu wakati wa mechi dhidi ya Yanga, dogo huyu wala hastahili kukosa national team...
Coastal Union VS Yanga SC
NBCPremierLeague
Uwanja wa Sheikh Amri Abeid
Tarehe: Novemba 26, 2024
Muda: Saa 10:00 jioni
Mechi imeanza karibu kupata burudani ya Soka
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, ametangaza rasmi kuwa timu ya Coastal Union ya Tanga, maarufu kama "Wagosi wa Kaya," sasa itaanza kutumia Uwanja wa Sheikh Amri Abeid kama uwanja wake wa nyumbani. Hatua hii inalenga kukuza mchezo wa soka mkoani Arusha, huku pia ikileta manufaa makubwa...
Uongozi wa klabu ya Coastal union umewajulisha rasmi mashabiki na wadau kwamba timu hiyo itautumia Uwanja wa Sheikh Amri Abedi, Arusha kama uwanja wake wa nyumbani kwa michezo yake inayofuata.
Taarifa iliyotolewa na ‘Wanamangush’ leo Oktoba 10, 2024 imebainisha kuwa uamuzi wa kupeleka mechi...
1.Mussa Camara
Siku mbaya kazini ngumu kumtenga na lawama za goli la 2 la coastal union pengine itampa funzo flani 4/10
2.Shomari Kapombe
Perfomance nzuri kwake hakuwa na baya kubwa ingawa goli la pili lilipitia upande wake huenda angekuwa kwenye nafasi yake angesaidia kuleta presha kwa...
Mambo 15 ya kuwashauri viongozi wa Simba
1. Mikakati ya Yanga ni migumu nyie kuijua hivyo Yanga anaweza kubeba ndoo miaka 10 mfululizo
2. Msitumie neno Ubaya Ubwela vibaya coz mwisho wa msimu mtakosa cha kutuambia mashabiki wenu
3. Bado kuna wanafiki wapiga dili ndani ya timu yetu ambao sio...
Mechi Imetamatika Ikishuhudiwa Simba akiondoka na Sare ya goli Mbili Kwa Mbili Dhidi ya Coastal Union (Wana Mangushi).
Lakini Mjadala Unabaki Kwa Nini Lamek Lawi Hakuwa Sehem ya Kikosi Cha Coastal union kilicho Cheza Mchezo Wa Leo Dhidi ya Simba.
Soma Pia: Simba wakubali yaishe kwa Lameck...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.