clemence mwandambo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mafyangula

    Clemence Mwandambo amvaa Mwamposa amwambia maandamano uondoa utukufu wa watawala na si utukufu wa Mungu

    Clemence Mwandambo kupitia ukurasa wake wa Istagram amemjibu Boniface Mwambosa kwa kauli yake aliyoitoa kusema Maandamano yanaondoa utukufu wa Mungu. Soma Pia: Mwamposa: Maandamano yanaharibu Utukufu wa Mungu Licha mimi siungi mkono maandamano lakini mimi nipo na Mwamposa anaposema Maandamano...
  2. R

    GE2025 Clemence Mwandambo: Vijana wengi waliokamatwa kwa kesi ya Uhaini ni watoto wa Masikini, Serikali iwafikirie hawa vijana ni huruma

    Mzee Clemence Mwandambo anasema Vijana wengi waliokamatwa wakati wa Maandamano ya Oktoba 29 na kusomewa hatia ya Uhaini ni watoto wa Masikini na hata wao wenyewe ni Masikini na inawezekana waliingia kwenye maandamano wakiwa hawajui wanahitaji nini, hivyo ameiomba Serikali kuwafikiria hao vijana...
Back
Top Bottom