Juzi Waziri Mkuu katoa kauli eti wahitimu wa degree waende VETA kujifunza ufundi ili wajiajiri. Kauli kama hizi ndizo zinathibitisha kwamba serikali yetu haijui kiini cha tatizo la ajira nchini. Badala ya kutengeneza mazingira mazuri ya ajira na biashara, wanataka vijana waende VETA kana kwamba...