Chief Mkwavinyika Munyigumba Mwamuyinga (1855 – 19 July 1898), more commonly known as Chief Mkwawa, was a Hehe tribal leader in German East Africa (now mostly the mainland part of Tanzania) who opposed the German colonization. The name "Mkwawa" is derived from Mukwava, itself a shortened form of Mukwavinyika, meaning "conqueror of many lands".
Kwema wana jamvi....?? Poleni na mihangaiko ya kutwa. Kama mada hapo juu inavyojieleza, niko na install Windows 10 kwa PC yangu lakini inaniletea ujumbe kama inavyoonekana kwenye Screen short niliyoambatanisha.... Nahitaji msaada tafadhali kwa wenye utaalamu.
Natanguliza shukrani zangu za...
Habari za siku ndugu zangu wa JF natumai mko salama na wazima wa afya kabisa
Naombeni ushauri wa juu ya aina ya simu ambayo inaweza kufaa kusogezea siku hasa kwa wadau wa mambo haya ya teknolojia
Aina ya simu ni Xiaomi Redmi 9c vs Infinix Hot 10i
Nb ni ushauri wa haraka ndio maana nimeuweka...
Kheri ya mwaka wataalam.
Ninapata mkanganyiko kidogo kwenye kujua ipi itanifaa zaidi kati ya simu tajwa hapo juu.
Upande wa performance, ukaaji wa chaji na mambo mengine ya msingi kwa mtumiaji wa kawaida.
Nataka kununua moja kati ya hizi nimejaribu kupitia mitandaoni kuangalia ipi ni the best...
BLACKVIEW TABLETS
Wakuu naomba kwa anaefahamu hizi tablets za blackview hasa blacview tab 9. hapa namaanisha ubora wake, durability yaan uimara, touch yake kama inadumu na mambo mengine.
Natumia Dell Insparion tatzo lake ni kuonyesha
255% AVAILABLE (PLUGGED IN)
Kwenye Icon ya Betri kwa lugha Nyepesi Kwenye alama Ya Betri badala ya Kuonyesha inachaji na Asilimia Zake ndo inaonyesha Hizo asilimia 255%, Nimejaribu Kuupdate driver Lakini imeshindikana Na Pia Nina Betri mbili moja Ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.