YAH: SALAAM ZA POLE.
Kwa niaba yangu binafsi, na kwa niaba ya Dayosisi ninayoiongoza kwa neema, pokea salaam za pole kama Baraza, Kanisa na binafsi kwa Fr. Charles Kitima kwa tukio ovu lililofanyika na kumdhuru mtumishi wa Baraza.
Shambulio hilo si la Fr. Kitima, si la TEC, wala la Imani ya...