chadema inakufa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Tlaatlaah

    Chadema Inakufa kwa majeraha mabaya sana yenye maumivu ya kisiasa, kiuchumi na kijamii yakujitakia

    Kuchagua viongozi wao wakuu wa chama wasio maono wala mikakati madhubuti ya kisiasa ni kosa la kwanza kabisa Chadema walifanya, hata sasa wamejikuta hapo walipo. Kuitenga na kususia michakato ya kidemokrasia kwa mihemko ya kiongozi wao moja tu, ilikua ni kosa la pili kubwa zaidi lililoiingiza...
  2. Carlos The Jackal

    Live CHADEMA inakufa Wakuu ,oneni hii ,CCM moto wa kuotea mbali

    Kahama imesema No Reforms No Election https://x.com/Twaha_Mwaipaya/status/1923772820057706620 Hapa Wananchi wakikichangia Chama Chao ili kife. https://x.com/chacha_heche/status/1923776355302252998 Muachieni LISSU nyie wapumbavu, Mabadiliko haya ni ya lazima, ni ya Wananchi, LISSU mijumbe...
  3. S

    CHADEMA inakufa kifo cha Mende - Nilijua tu

    Baada ya malalamiko ya waliojitoa CHADEMA (Viongozi waandamizi) niliunganisha dots za tabia ya Mheshimwa Tundu Lisu na kuona alikuwa hajaacha uanasheria mhivyo mtambuwe anachokiona mwanasheria kuwa kosa litabaki kuwa kosa na analoliona lipo right litabakia kuwa hivyo. No Reform no Election...
  4. W

    SI KWELI PreGE2025 Boni Yai asema Chadema inakufa na kujizika wenyewe

    Wakuu hili la kwamba BoniYai amesema Chadema inakufa na kujizika yenyewe ni ya kweli?
  5. Waufukweni

    PreGE2025 CHADEMA Mbeya: Mkituletea Mbowe Chama kinakufa

    Wafuasi na Wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoani Mbeya wamewataka wajumbe wa mkutano mkuu wa chama hicho watakaoshiriki uchaguzi wa kumpata mwenyekiti wa chama hicho ngazi ya Taifa kumchagua Tundu Lissu ili aweze kushika wadhifa huo. Wakizugumza katika mkutano na...
Back
Top Bottom