bunge la chama kimoja

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    PostGE2025 Mwananchi: Nina imani na bunge la CCM

    " Nina imani kubwa sana na bunge la sasa hivi jinsi lilivyo. Ni bunge la Chama cha Mapinduzi"- amesema mwananchi Huyu ni mwananchi tena mtu mzima aliyeshuhudia vipindi vingi vya uongozi hapa nchini, naamini anaelewa hasa matukio yanayoendelea lakini bado anashobokea uwepo wa nguvu ya chama...
  2. Waufukweni

    GE2025 Polepole: Haipendezi kwenye mchakato wa Ubunge ni Watu wa Familia za Viongozi

    Humphrey Polepole amesema "Leo kinachoendelea kwenye Uchaguzi wa Chama huko chini...ni kudhihirisha ni namna gani Chama kimedhohofika kwenye kusimamia Misingi, Nidhamu ya Wanachama, Maadili, Rushwa" "Ni Haki kila Mtu kugombea lakini kwenye Chama ambacho tuna Kamkate kadogo ka fursa za Uongozi...
  3. B

    Moto wa CHADEMA mikoa ya Lindi na Mtwara walizindua bunge la chama kimoja Dodoma

    08 April 2025 Dodoma, Tanzania Katika hali isiyo ya kawaida mbunge aomba bunge lisitishwe ili lijadili barabara ya kutoka Dar es Salaam hadi Mtwara iliyokatika katika Daraja la Somanga Mtama https://m.youtube.com/watch?v=_BOrxz9JsPk Ziara ya kikazi ya CHADEMA mikoa ya Kusini wamekuwa...
  4. M

    PreGE2025 Operation Safisha Bunge 2025

    Bunge la Jamhuri ya Muungano limekuwa sawa na Pango la Wanyanganyi na ni hatari kwa Usalama wa taifa na amani yetu. Leo tarehe 24/06/2024 Bunge limekaa kikao kujadili kinachoitwa Utovu wa nidhamu wa mbunge aliyehoji Kampuni isiyoweza kukopesheka hata mkopo wa million 5 kupewa kibali cha kuagiza...
Back
Top Bottom