MWAKA Fulani nilipo KUWA musoma masomoni. Nilikutana na JAMAA MmOJA HAPO shuleni tukisoma WOTE JAPO kombi ziklikua tofauti, ILA bweni tulipangiwa MOJA, Hatukua marafiki SANA ILA tulipenda kupiga STORI za hapa na pale.
SIKU moja katika MAZUNGUMZO yetu, JAMAA alinidokeza CHANGAMOTO anazo pitia...