Buchosa, Mwanza Tukio la kushangaza linalodaiwa kukiuka taratibu na maadili ya uchaguzi limeibuka katika Jimbo la Buchosa, ambapo mtia nia wa Ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Charles Tizeba, anaripotiwa kuwapatia wajumbe wa CCM kiasi cha shilingi elfu ishirini (20,000/=) kwa...