1/ 📢 KWA WAMILIKI WA MAKAMPUNI YOTE TANZANIA!
BRELA imetoa tamko rasmi kuwa kampuni zote zinapaswa kuwasilisha taarifa za umiliki wa mwisho wa faida katika kampuni (Beneficial Ownership Information). Muda wa mwisho: 15 Aprili 2025. 🚨
2/ Hili ni hitaji la kisheria chini ya Sheria ya Makampuni...
Tanzania kwa nini tunakua namna hii? Watu wa Brela mtu ameshakamilisha na kujaza form zote na kulipia kila kitu kitendo cha mfanyakazi wa Brela kubonyeza button "FINISH" kinachukua siku 2 mpaka 3 kama hutoi chochote.
Msifanye rushwa kua kitu cha lazima ili mtu akamilishe mambo yake hasa yakiwa...
Karibu Day Dreamer Tz Consultancy, watatuzi wa changamoto zako kwenye:
1. Usajili wa Jina la Biashara Brela
- Tunakusaidia kusajili jina la biashara lako kupitia BRELA (Business Registrations and Licensing Agency). Hii ni hatua muhimu ya kisheria inayokuwezesha kufanya biashara kwa jina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.