Maoni yangu kuhusu maandamano: njia salama zaidi kulinda watu na kulinda mali na kulinda mali ni KUYARUHUSU, kama nchi nyingine za kidemokrasia zinavyofanya.
Tanzania ni demokrasia, sindiyo?
Halafu, nilipokuwa nasoma Katiba ya Tanzania, nikaona hivi:
Ibara ya 20 — Haki ya Kujumuika na Kuunda...