biashara ya uwakala

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Scared

    Nimepigwa Tsh milioni 8 kwenye biashara ya uwakala kupitia mfanyakazi mzembe

    Aisee siku ya Jana imekuwa mbaya sana kwangu mfanyakazi wangu amenitia hasara ni hivi Kwa mujibu wake huyu binti walikuja jamaa wiki Moja kabla wakamuambia awape simu waweke laini akawapa wakati nilishamkataza asimpe mteja simu kilichotokea kumbe walisave jina langu namba yao kwenye simu yake...
  2. M

    Kwa wenye uzoefu naomba ushauri kuhusu biashara ya uwakala wa miamala ya simu

    Habari wakuu,wiki kadhaa zilizopita nilipost uzi nikieleza Nia yangu ya ya kuanza biashara ya uwakala wa miamala kwa Mtaji wa 2.5M, nashukuru kwa maelekezo mliyonipa, Leo narudi Tena kuomba ushauri na muongozo kutoka kwa wale ambao mlishawahi kufanya biashara hii, Je ni mambo gani...
  3. M

    Kwa Mtaji wa 2.5M nitatoboa kwenye biashara ya uwakala?

    Habari wakuu Naombeni ushauri kwa wale ambao mna uzoefu na hii biashara Nina mtaji wa 2.5M nilioukusanya kwa lengo la kufanya biashara ya uwakala wa kutuma na kutoa pesa kwa mitandao ya simu Je nitafanikiwa kwa mtaji huo? Biashara hii ina changamoto zipi? Nizingatie mambo gani?
  4. immortanity

    Msaada: Naomba details kwenye malipo ya uwakala wa mitandao ya simu (Mpesa Mix by Yas, Halopesa )

    Ukituma pesa kwa mteja/kuweka pesa. mteja akitoa pesa . Malipo kutoka mtandao husika kwa wakala yanakuaje kwa mweźi au ni papo hapo kwa kila muamala? . mwenye kuelewa msaada tafadhali.
  5. Tommy 911

    Jinsi ya kuwa wakala mkuu wa kusajili line za simu

    Habarini wana JF nina wazo la kuwa wakala mkuu wa kusajili line na kumiliki vijana kadhaa wakusajili. Je, utaratibu upoje na jinsi ya malipo inakuwaje?
  6. P

    Naomba ushauri juu ya biashara ya uwakala wa fedha kwa Dar es Salaam

    Wazima ndugu zangu, Si mnajua maisha yalivyo wanadamu tumeumbwa kupambana hapa duniani kwa miaka hii michache tunayoishi hapa alafu ukiangalia maisha ndio yanazidi kuwa magumu ila ndio hivyo tuliambiwa tulime ndio tule kula kwa Jason huko. Lengo la kuja kwenu wakuu ni kuuliza kwa hapa...
Back
Top Bottom