Kama una mtoto, mnunulie pool table mfundishe kucheza umnoe kila siku, hadi anakuja kufikisha miaka 18 anakua amebobea, anakua unbeaten ambapo kwa uhakika atakuwa GOAT wa pool table.
Baada ya hapo aanze kwenda ku challenge wengine kwenye pool table za mashindano kuingiza 80k hadi 100k kwa siku...
Bila kupoteza muda, naomba nifafanuliwe na kunielewesha juu ya hii biashara mfano
Mtaji wake ni sh ngapi?
Malengo Kwa siku au Kwa wiki sh ngapi?
Changamoto zake ni zipi
Na mengine ya ziada kama yapo naomba tena wajuzi wa mambo mnisaidie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.