Aliyewahi kufanya hii biashara ya kununua na kuuza mazao,
Nataka kusafiri kwenda mkoa wa katavi, kipindi cha mavuno maana nimeambiwa huko wanalima sana mahindi,
Nataka kununua mahindi, niweke stoo
Baada ya muda bei zikiwa nzuri niuze
Sasa sina mtu huko,na sina uzoefu wowote,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.