Shirika la habari la BBC imeeleza kuwa kiongozi wa mtandao wa biashara ya ngono uliokuwa ukiwadhalilisha wanawake katika mitaa ya kifahari ya Dubai amekamatwa na mamlaka za Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE)
Charles “Abbey” Mwesigwa, ambaye alitambulika kupitia uchunguzi wa BBC, alinaswa kamera...
Uchunguzi wa BBC umefichua mwanamume anayeendesha mtandao wa biashara ya ngono kutoka kwenye maeneo ya kifahari ya Dubai, akiwanyanyasa wanawake walio katika mazingira magumu.
Mwanamume huyo, anayeitwa Charles Mwesigwa, ambaye anadai kuwa alikuwa dereva wa basi jijini London, aliiambia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.