Nashindwa kuelewa kabisa hizi benki zetu, ukiingi unakuta dirisha Moja au ukibahatisha mawili tu ndio yanafanya kazi Kati ya matano, na wateja kwenye foleni ni wengi.
Nashindwa kuelewa kinachowafanya kushindwa kuajiri nguvu kazi ni nini?
Ni ukosefu wa nguvu kazi mtaani? Hapana, vijana mtaani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.