WAZIRI KOMBO AMUAGA BALOZI WA VATICAN NCHINI
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Mahmoud Thabit Kombo (Mb), ameishukuru Vatican kwa mchango wake katika kuimarisha uhusiano wa muda mrefu na wa kirafiki na Tanzania.
Akizungumza wakati wa kumuaga Balozi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.