baada ya miaka 14

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. beatboi

    Baada ya miaka 14 hatimaye Fid Q ameamua kumjibu Rado (usiulize) diss track

    Hili bifu limemtafuna Fid Q kwa muda mrefu na wimbo wa usiulize ndio diss track namba moja Tanzania ukimlenga moja kwa moja Fid Q Je kuchelewa kujibu kwa Fid ni uoga au alikosa muda? amekosea timing au ndio wakati wake? upande wangu nasubiri comeback kutoka kwa rado
  2. Waufukweni

    PreGE2025 Khadija Taya (Keisha): Wenye ulemavu wapatiwa ruzuku baada ya miaka 14

    Mbunge wa viti maalumu katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Khadija Taya maarufu kwa jina la Keisha amesema kwa muda wa miaka 14 vyama vya watu wenye ulemavu havikuwahi kupewa fedha za ruzuku za kujiendesha, na kwamba kuanzia mwaka 2023/2024 ilipatikana bajeti ya shilingi bilioni...
  3. Binti wa zamani

    Utapeli ulivyonirudisha Jamii Forums baada ya miaka 14

    Nimeulizwa sana kwenye nyuzi, ngoja leo niwasimulie. Jan 16, 2025 alinipigia simu ndugu yangu mmoja akasema anataka tuonanae. Nikamkaribisha nyumbani, akaja na akaanza kunielezea shida yake. Kiufupi, alikuja kuniomba nimuazime pesa na atanirudishia baada ya wiki mbili. Nikamuuliza kulikoni...
Back
Top Bottom