WAKATI Zimbwabwe na Afrika nzima ikiendelea kuomboleza msiba wa kiongozi wake shupavu, Rais wa pili wa nchi hiyo, Robert Gabriel Mugabe (95), Gazeti la Ijumaa Wikienda linakujuza mengi zaidi ya kiongozi huyo ikiwemo utajiri wake. Mugabe alifariki dunia Septemba 6, mwaka huu nchini Singapore...
Kama utaenda njiwa wangu angalia pakutua.
Usije pata shija na mimi sijui
Nakama utaenda miti mingine sio tete inatesa so angalia sehemu ya kutua.
Njiwa njiwa njiwa njiwaa.
Kwa heri njiwa wangu.
Nilikupenda kwa moyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.