Wakuu , hivi Askofu Gwajima yuko wapi? Toka usiku wa kuamkia leo alipoonekana akitoa update za wasiojulikana wanaojulikana kama polisi hajaonekana tena!
Je, wametembea nae?
Je, alichochora akapita katikati yao akaenda zake ? Ama namna gani ndugu zangu?