anthony joshua

Anthony Oluwafemi Olaseni Joshua (born 15 October 1989) is a British professional boxer. He is a two-time former unified world heavyweight champion, having held the World Boxing Association (WBA) (Super version), International Boxing Federation (IBF), and World Boxing Organization (WBO) titles twice between 2016 and 2021.
As an amateur, Joshua represented England at the 2011 World Championships in the super-heavyweight division, winning a silver medal. He also represented Great Britain at the 2012 Olympics, winning gold. In 2014, a year after turning professional, he was named Prospect of the Year by The Ring magazine.
In 2017, his victorious fight against Wladimir Klitschko was named Fight of the Year by The Ring and the Boxing Writers Association of America.

View More On Wikipedia.org
  1. Yoda

    Matajiri wausiwa kudai nchi bora kutokana na ajali ya Anthony Joshua

    Haijalishi una utajiri kiasi gani binafsi kama Mnigeria, sote kwa pamoja ni maskini. Maskini sana. Hili unalielewa tu wakati wa dharura. Moto unazuka lakini hakuna huduma ya zimamoto. Ajali inatokea lakini hakuna huduma ya kwanza, hakuna gari la wagonjwa, hakuna mfumo. Leo, bingwa wa ndondi wa...
  2. M

    Bondia Anthony Joshua apata ajali Nigeria, wawili wafariki dunia

    Bondia maarufu wa Uingereza na Nigeria,Anthony Joshua amepata ajali ya barabarani katika eneo la Makun, jimbo la Ogun, nchini Nigeria. Ajali hiyo imetokea katika barabara kuu ya Lagos-Ibadan, ambapo gari lake aina ya Lexus Jeep liligongana na gari lingine ambalo lilikuwa limesimama. Joshua...
  3. JanguKamaJangu

    Anthony Joshua afikiria kurudiana na Dubois

    Bondia Anthony Joshua anatarajiwa kurudiana na Daniel Dubois baada ya sehemu ya Waratibu wa pambano lao la kwanza kudai kuwa wapo katika mazungumzo ya awali AJ alipoteza pambalo lililopita katika Raundi ya 5 mbele ya Mashabiki 98,000 kwenye Uwanja wa Wembely Joshua bado ana mkataba wa kupigana...
Back
Top Bottom