Kuna video inasambazwa ikionesha Rais na Amiri Jeshi Mkuu kuyumba kidogo.
Wengi wanaopost video hiyo wanatia chumvi ionekane kwamba Amiri Jeshi Mkuu ana shida ya kiafya.
Majibu kutoka Jeshini:
1. Hakuanguka. Kumbukeni pale ndio alikuwa anaingia kwenye shughuli na alionekana akiendelea na kazi...