allan okello

Allan Okello (born 4 July 2000) is a Ugandan footballer who plays for Vipers SC and the Uganda national team as an attacking midfielder.

View More On Wikipedia.org
  1. Da Dona

    Allan okello progress

    Marafiki wapendwa kutoka Tanzania, kijana wetu nyota anaendeleaje upande huo?
  2. Meja Jenerali Isamuhyo

    Allan Okello ni Geofrey Mwashiuya wa Uganda

    Tukubaliane kutokukubaliana, huyu jamaa wakuitwa Okello hana tofauti yoyote na Geofrey Bahati Mwashiuya. Hype kubwa nje ya uwanja thenn uwezo mdogo ndani ya uwanja. Mimi nilishangaa mchezaji mwenye uwezo aje kucheza Tanzania badala ya kwenda hata South Africa huko.
  3. Damaso

    Mukwala na Okello wagombania mpira wa penalti

    Uganda walipata penati kwenye mchezo wao dhidi ya Somalia, ikatokea Allan Okello na Steven Mukwala wote wakawa wanagombea kutaka nafasi ya kupiga penalti. Hivyo nahodha wao Khalid Aucho akaingilia kati na akachukua mpira kutoka kwa Mukwala na kumpatia Okello apige penati, Okello alifunga...
Back
Top Bottom