albert mangwair

Albert Keneth Mangweha (November 16, 1982 - May 28, 2013) who used aliases; Ngwair, Mangwea, Mangwair, and Ngwea was a Tanzanian hip hop artist predominantly known for his freestyle punchlines and hardcore rap style.

View More On Wikipedia.org
  1. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Miaka 13 bila ALBERT MANGWAIR, May 28, 2013 - May 28, 2026, Continue to rest in peace, Albert Mangwair

    Leo Mei 28, 2026 tunakumbuka miaka 13 tangu tasnia ya muziki wa Tanzania ilipopoteza kipaji cha kipekee—Albert Mangwair, msanii aliyekuwa na sauti ya kipekee na ubunifu uliovuka mipaka ya kawaida. Kifo chake kiliacha pengo kubwa katika ulimwengu wa muziki, lakini mchango wake unaendelea kuishi...
  2. central midfielder

    JamiiForums Tanzania Albert Mangwair

    Kwa ile flow yake,Swaga kwenye beat na aina yake ya kuumiza Collabo, Albert angeweza kufanana na rapper gani pale Marekani. Mimi naona T.I wewe je?
  3. BabaMorgan

    JamiiForums Tanzania Albert Mangwair kumiliki gari kabla ya ghetto unaona kabisa palikuwa na shida pahala

    Albert Mangwair Kupitia mahojiano aliyofanya Skywalker Fredrick Bundala na Makaveli aliyekuwa mmiliki wa ghetto ambalo msanii mkali wa freestyle Ngwair akiishi amefunguka mengi kuhusiana na nyakati alizoishi na Ngwair kubwa zaidi ni lifestyle ya msanii. Anafunguka Ngwair kuwa mtu wa Bata...
  4. Kanungila Karim

    JamiiForums Tanzania No Agenda: Maisha ya Ngwair alijiona New York akiwa Bongoland

    Nakupa homework; nitajie wimbo wa Ngwair akilia kuteswa na mapenzi. Nioneshe ngoma ya Albert Mangweha, akilalamika maisha yamempiga mpaka akakata tamaa. Ukipata, nitakwenda Kihonda, Morogoro, nikalale mwezi mzima juu ya kaburi lake. Ngwair alifanya muziki wa maono yake. Alijiona katika jukwaa...
Back
Top Bottom