ahadi za wabunge

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. T

    Barua ya Wazi Kwa Mbunge wa Morogoro Mjini, Abdul Aziz Abood: Bado tunasubiri yale madawati uliyotuahidi

    Mheshimiwa, Kwanza nikupe pole na Hongera Kwa kazi unazofanya kwenye Jamii. Mheshimiwa nakumbuka mwaka juzi kwenye mafuriko na sintofahamu pale ilipokuwa awali Shule ya Msingi Juhudi, kata ya Lukobe, Viongozi akiwemo aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ilionekana eneo lile si salama tena Kwa watoto na...
  2. M

    PreGE2025 Kimei amtaja Samia kinara wa mageuzi ya elimu nchini ikiwemo maarifa ujuzi, asema Vunjo yanufaika

    Jimbo la Vunjo ni kati ya majimbo 100 nchini ambayo yamenufaika na mradi wa ujenzi wa shule mpya za sekondari Mafunzo ya Amali Uhandisi, ili kuwawezesha Vijana kupata ujuzi na kuwa mahiri. Kwa Jimbo la Vunjo shule hii inaendelea na ujenzi katika kijiji cha Koresa kata ya Kirua Vunjo Kusini kwa...
  3. Roving Journalist

    PreGE2025 Ahadi za Watiania nafasi ya Ubunge kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

    Wakati tunaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu ambako pia wananchi watapata nafasi ya kuchagua wabunge watakaowawakilisha kwa miaka mingine 5, tunashashuhudia viongozi wakianza kutangaza nia na kuahidi mabadiliko wakipata nafasi. Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa...
Back
Top Bottom