adhabu ya viboko

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    LHRC yafungua kesi ya kikatiba kupinga adhabu ya viboko shuleni kufuatia kifo cha mwanafunzi Simiyu

    Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimeunga mkono na kufungua kesi ya kikatiba katika Mahakama Kuu ya Tanzania (Kanda Kuu Dodoma) kupinga uhalali wa matumizi ya adhabu ya viboko shuleni. Kesi hii imewasilishwa kwa niaba ya Samwel Maduhu Mangu, mlezi wa marehemu Mhoja Wilson Maduhu...
  2. The Burning Spear

    Huyu ni mwalimu wa shule gani anayempiga mwanafunzi mateke?

    Check huyu ticha . Naona anawaiga police wa Samia. Ticha ni kilaza na hana maadili ya kazi yake Pia soma ~ Mwalimu wa Shule ya Sekondari Makumbusho (Dar) afukuzwa kwa kosa la kutoa adhabu kali kwa Mwanafunzi
  3. UMUGHAKA

    Nadhani adhabu ya Viboko iwe ni moja wapo ya Adhabu Vyuo Vikuu Vyote Nchini Tanzania

    Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane Nimekuwa nikisema mara kadhaa ya kwamba,mwanadamu yeyote aliye na ngozi nyeusi ni ngumu sana kumkontroo bila maamuzi magumu na yanayoumiza! Sisi ngozi nyeusi tuko tofauti kabisa katika uelewa ukilinganisha na ngozi nyeupe! Hebu fikiria hivi...
  4. Waufukweni

    Mtandao wa Elimu Tanzania: Adhabu ya viboko iondolewe shuleni

    Mtandao wa Elimu Tanzania (TENMENT) pamoja na Kituo cha Sheria na haki za binadamu LHRC wameendelea kuisisitiza Serikali kuhusiana na kufutwa kwa adhabu ya viboko shuleni badala yake kubuniwe kwa adhabu ngingine zenye kuongeza stadi za maisha kwa mwanafunzi. Soma: Simiyu: Mwanafunzi adaiwa...
  5. Just Pray

    Wanaovaa nusu utupu kupigwa adhabu ya viboko

    Wananchi wa kijiji cha Ibindi, Manispaa ya Mpanda, mkoani Katavi, wamependekeza adhabu ya viboko kwa wanawake wanaovaa nguo zinazodhaniwa kuwa hazina stara, wakiunga mkono juhudi za kudumisha maadili katika jamii. Pendekezo hili lilitolewa wakati wa mkutano wa hadhara uliofanywa na Mkuu wa...
  6. J

    Je, ni kweli Adhabu ya Viboko inasaidia kuongeza Nidhamu na Uelewa kwa Mtoto?

    Tanzania ni miongoni mwa nchi zenye Sheria inayoruhusu Adhabu ya Viboko kwa Wanafunzi Shuleni licha ya adhabu hiyo kutajwa na kupigwa marufuku kwenye takriban Mataifa 51 ikielezwa kuwa ni ya Kikatili na inayoumiza badala ya kufundisha Ili kufahamu zaidi, Shirika la Save the Children na WILDAF...
  7. BARD AI

    Mahakama ya Afrika yaiamuru Tanzania kufuta Adhabu ya Viboko

    (Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Brigedia Jenerali Nicodemus Mwangela Mapema akiwachapa viboko wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wavulana ya Oswe) Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu imeiamuru Tanzania kuondoa adhabu ya viboko kwenye sheria zake ili ziendane na Mkataba ulioanzisha mahakama...
  8. curie

    Kwa hili la viboko kuna 'double standard'

    Kuna ndugu yangu ni kitengo huko serikali tena idara ya elimu na ndo kashikilia bango swala la viboko. Wakati yeye mtoto wake anayesoma shule kapuni hapa dar juzi mwanae kunusurika kufukuzwa bada ya utovu wa nidhani. Kimbembe sasa huyu ndgu yangu kidgo amuue mwanae kwa bakola zisizo na idadi...
Back
Top Bottom