adc

Advanced Direct Connect is a next-generation peer-to-peer file-sharing protocol. This page compares the features of a number of software implementations of the protocol.

View More On Wikipedia.org
  1. Mkalukungone Mwamba

    Mwenyekiti Mstaafu ADC: Mataifa ya Magharibi hutumia uchumi wao kuwatawala Waafrika

    Mwenyekiti Mstaafu wa Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Hamad Rashid Mohammed amesema kuwa mbali na wakoloni kuwachukua Waafrika kuwa watumwa katika mataifa yao walianzisha mifumo iliyowafanya Waafrika kudharau utamaduni wao ili waendee kuwatawala kifikra. Amesema kuwa hata sasa...
  2. W

    GE2025 Mgombea Urais wa ADC: Mkinichagua kula bata itakuwa ni "Lifestyle"

    Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Wilson Elias Mulumbe, amesema miongoni mwa mikakati yake endapo atachaguliwa kuwa Rais ni kupunguza ugumu wa maisha kwa Watanzania na kuwezesha Watanzania wanaoishi nje ya nchi (diaspora)...
  3. Mafyangula

    GE2025 ADC: Tutaongeza kipato kwa wavuvi wa Zanzibar

    Chama cha Alliance For Democratic Change (ADC) kimezindua rasmi kampeni zake hii leo, ambapo mgombea wa urais wa Zanzibar kupitia chama hicho, Hamad Rashid Mohamed, ameahidi kuimarisha mfumo wa uvuvi ili kuongeza kipato kwa wavuvi wa Zanzibar. Amesema hayo katika uzinduzi wa kampeni za urais wa...
  4. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Wanachama ADC Zanzibar wavutiwa na Sera ya “Shibe Kwanza” ya Hamad Rashid

    Wanachama wa Chama Cha ADC Zanzibar wamefurahishwa na sera za Mgombea wao wa Urais wa Zanzibar Hamad Rashid Mohammed kutoka na sera zake hasa ya sera ya Shibe Kwanza ambayo inewapa matumaini makubwa. Wakizugumza baada ya mkutano wa hadhara uliofanyika Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba wafuasi...
  5. JanguKamaJangu

    GE2025 Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imetengua uteuzi Mgombea Urais wa ADC (Wilson Malumbe) kwenye kuwania Urais wa Uchaguzi Mkuu 2025

    Maktaba Media imepata taarifa kuwa Mgombea Urais kupitia Chama Cha Alliance Democratic For Change (ADC) Ndg. Wilson Malumbe huenda akaondolewa kwenye mchakato wa Urais wa Uchaguzi Mkuu 2025 baada ya Ofisi ya Msajili wa Siasa kubainisha kasoro za kupatikana kwa Mgombea huyo. Haya yanajiri wiki...
  6. Just Pray

    GE2025 Wao wamepeleka baiskeli, sisi ADC tunapeleka Ng'ombe ili tutoke ngoma droo

    Mwenyekiti wa Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Shaban Itutu, amehoji uwiano wa mamlaka kati ya Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa na Tume Huru ya Uchaguzi, akisema kuna mgongano unaoweza kuathiri haki na uwazi wa uchaguzi. Akizungumza Jumatatu, Agosti 18, 2025, katika Mafunzo...
  7. M

    GE2025 Alliance for Democratic Change (ADC): Polisi wanatutesa sana kwenye chaguzi

    Akizungumza katika Mafunzo kuhusu Sheria ya Gharama za Uchaguzi kwa Viongozi wa Kitaifa wa Vyama vya Siasa leo Agosti 18, 2025 katika Ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC), Mwenyekiti wa Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Shaban Itutu amelalamikia...
  8. PAYE

    GE2025 Mgombea Urais kupitia ADC, Wilson Elias Mulumbe akabidhiwa fomu za uteuzi na Mwenyekiti wa INEC

    Mgombea wa kiti cha urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Wilson Elias Mulumbe, tarehe 15 Agosti 2025 amekabidhiwa fomu za uteuzi na Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji wa Mahakama ya Rufaa, Jacobs Mwambegele. Hafla...
  9. R

    GE2025 Aliyeenguliwa kuwania Urais ADC, Mutamwega Mgaywa amekusudia kukata rufaa

    Siku moja baada ya Chama Cha Alliance Democratic For Change (ADC) kumpata mgombea urais wa Tanzania na Zanzibar, kada wa chama hicho na aliyewahi kuwa Mbunge wa Mwibara mkoani Mara, Mutamwega Mgaywa amekusudia kukata rufaa kwenda Ofisi ya Msajili wa Vyama Vya Siasa, kupinga mchakato huo Msingi...
  10. DuaZaMama

    ADC: Mamantilie,Machinga tutawapatia maeneo rasmi

    Mwenyekiti wa Chama cha Alliance Democratic Change (ADC), Shaban Itutu, ametoa wito kwa serikali kuweka mikakati madhubuti ya kuwawezesha wamachinga, mama lishe na vijana wa boda boda na bajaji, badala ya kuwaona kama kero za mijini. Akizungumza Juni 29, 2025, katika Mkutano Maalum wa ADC wa...
  11. DuaZaMama

    ADC yalaani utekaji wasema hatukubali aibu kwa taifa

    Chama cha Alliance Democratic Change (ADC) kimeungana na viongozi wa juu wa nchi kulaani vikali vitendo vya utekaji vinavyoendelea kushamiri katika baadhi ya maeneo nchini, vikihusisha raia wa kawaida, watoto, na hata wanasiasa. Akizungumza Juni 29, 2025, katika Mkutano Maalum wa chama hicho wa...
  12. R

    PreGE2025 Chama cha ADC kufanya mkutano mkuu maalum wa kuwateua watakaogombea kwenye Uchaguzi

    Akizungumza na waandishi wa habari, Katibu Mkuu wa ADC, Mwalimu Hamad Azizi, amesema mkutano huo utafanyika tarehe 29 Juni 2025, ukiwa ni sehemu muhimu ya maandalizi ya chama hicho kujipanga kuelekea uchaguzi mkuu, katika kuhakikisha kuwa kinapitisha wagombea imara na wenye uwezo wa kushindana...
  13. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Mbunge wa zamani achukua fomu kuwania urais wa Tanzania kupitia Chama cha ADC

    Leo Mei 23, 2025 aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Mwibara, Muttamwega Bhatt Mgaywa, amechukua fomu ya kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha ADC makao makuu ya chama hicho Buguruni, Dar es Salaam. Mgaywa amesema amechukua uamuzi huo kufuatia maombi mengi ya baadhi...
  14. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Viongozi wa NCCR Mageuzi wilaya ya Magu wakibwaga chama na kuhamia ADC

    Katibu wa NCCR Mageuzi Wilaya ya Magu mkoani Mwanza, Robert Busumabu na mwenzake Mwenyekiti wa Vijana wilaya hiyo, Mathayo Ndalahwa wamehamia chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) huku wakieleza sababu za wao kuhama. Mara baada ya kupokelewa na Kamishna wa ADC Mkoa wa Mwanza, Ramadhani...
  15. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Mwenyekiti NCCR Mageuzi Wilaya ya Misungwi abwaga manyanga na kuhamia ADC

    Mwenyekiti wa Chama cha NCCR Mageuzi Wilaya ya Misungwi, Francis Mazigo, ametangaza rasmi kujivua nafasi yake ndani ya chama hicho na kujiunga na Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), akisema amevutiwa na katiba, sera na mwelekeo wa ADC kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu. Kupata...
  16. Chifu mkuu

    Je, ingemtokea mpambe wa Rais (ADC) wangefanyaje?!

    Habari ja jioni wadau. Kuna jambo nimejiuliza nikakosa majibu nikaona niwashirikishe wadau saa nyingine yupo mwenye uelewa akanisaidia kunielimisha. Ni kuhusu tukio lililotokea siku za karibuni la mmoja wa walinzi wa mheshimiwa rais kushikwa na kizunguzungu na kulazimika kwenda kupumzika. Ni...
  17. Just Pray

    PreGE2025 Mwenyekiti ADC: Wapinzani tunaishi Tanzania kama watoto yatima

    “Wapinzani wa Tanzania tunaishi kama watoto yatima ni watu ambao tunapata mateso sana kwenye hii Nchi lakini haya yote yataisha siku tukipata katiba mpya” Shabani Itutu Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya...
  18. Waufukweni

    PreGE2025 ADC yajipanga kuwang’oa madarakani CCM, waeleza kuhusu 'No Reform, No Election' ya Chadema

    "Kama Mbwai na Iwe Mbwai." Ndiyo kauli anayoitumia Mwenyekiti wa Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) taifa, Shaban Itutu akielezea msimamo wa chama hicho kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu. Itutu ametoa kauli hiyo, baada ya Mwenyekiti wa Chama cha...
  19. Suley2019

    LGE2024 Mwanza: Mgombea ADC alalamika vipeperushi vyake kubanduliwa na kubandikwa vya CCM

    Mgombea Uenyekiti wa Mtaa wa Nela Kata ya Isamilo jijini Mwanza kwa tiketi ya Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), James Dioniz, amelalamikia kitendo cha vipeperushi vyake kubanduliwa, kisha kubandikwa vya mgombea Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abubakar Seif. Akizungumza na Mwananchi...
  20. K

    Mpango wa kuwawezesha Wanawake kiuchumi, Benki ya Equity Tanzania yasaini Mkataba na Taasisi ya ADC Tanzania

    Katika hatua ya kuashiria kuanza kwa utekelezaji wa mradi maalum wa kuwawezesha Wanawake kiuchumi, Benki ya Equity Tanzania imesaini mkataba na Taasisi ya ADC Tanzania na washauri wabobezi wa biashara, jana Novemba 5, 2024. Lengo kuu la mradi huu ni kuwajengea Wanawake uwezo katika biashara zao...
Back
Top Bottom