Akizungumza Jumatatu, tarehe 23 Juni katika Ukumbi wa Ubungo Plaza, Mbunge wa Kinondoni, Abbas Tarimba, aliongoza mkutano wa uwajibikaji kuhusu utekelezaji wa ilani ya CCM kwa kipindi Cha miaka mitano .
Mgeni rasmi katika hafla hiyo alikuwa Issa javu, Katibu wa NEc Oganalzesneni wa CCM ambaye...