Mtoto wa Hayati Julius K. Nyerere, John Nyerere yupo wapi?

Mtoto wa Hayati Julius K. Nyerere, John Nyerere yupo wapi?

Msandawe Halisi

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2010
Posts
647
Reaction score
351
Mimi nawafahamu watoto wote wa hayati Julius K. Nyerere. Kuanzaia Rosemary Nyerere, Anna Nyerere, Madaraka Nyerere, Makongoro Nyerere, Andrew Nyerere, Magige Nyerere, Aikael Nyerere.

Pia watoto wa kuomba kuwepo kwenye ukoo wa baba wa Taifa ambao ni Benjamin Mkapa ambaye ndiye mtoto pekee aliyeaminiwa sana kuliko watoto wake wote.

Pia Yericko Nyerere ambaye kuna uwezekano mkubwa hayati alimsajili kwenye list yake huku akitegeme angerudi kutoka kwenye matibabu awafahamishe watoto wengine.

Kinachonifanya niamini ni jinsi Andrew Nyerere anavyomtegemea Yericko kwenye masuala yahusuyo familia ya hayati.

Shida yangu ni moja tu, naomba nisaidiwe kujulishwa huyu mtoto wa Nyerere anayeitwa John Nyerere anafanya nini?

Kwa sababu nataka kulinganisha katika watoto wake yupi mwenye upeo mzuri wa kushika hatamu baada ya Kikwete.

Watoto wengine wote nimewatoa kwenye mchujo, nimewabakiza hawa kwenye list baada ya mchujo.

Aikael Nyerere, Makongoro Nyerere, John Nyerere na Yericko Nyerere.

Huyu John nimemuweka kwa sababu simjui nisije acha kutenda haki.
 
Kwani kushika hatamu lazima wawe watoto wa Nyerere?
 
Kuna harufu ya uchifu na ufalme hapa!nakemea kwa nguvu zote,tokaaa!
 
Hii theard ni mada chokonozi, mfano wengine hatujui mtiririko wa Familia ya Mw.Nyerere.

Ingekua vyema tungejua kwa sasa wako wapi na wanafanya kazi gani hata kama wapo ndani ya nchi.

Mleta mada ungetufafanuli na majukumu yao kwa sasa pengine tungejua mwenye uelekeo.
 
Waswahili wanasema mfa maji haishi kutapatapa sasa hawa mi ccm sasa imeisha jua inazama baharini na wanajaribu mpaka kumfufua mwalimu Nyerere aje awasaidie through kutaka kumrithisha mmoja wa watoto wake utawala,hilo halitowezekana hata mkimleta Pope Francis aje awasaidie sisi hatutojali kazi ni moja tuu,kuyatoa ma ccm ktk madaraka waliyohodhi kwa takriban miaka 50.

Sasa wanatamani hata wamlete PK wa Rwanda naye aje asaidie ccm kuendelea na unyonyaji wao,nasema tumechoka sasa imetosha nyie subirini kwenda mahakamani baada ya uchaguzi ili mjibu mashtaka ya uhujumu uchumi na kuwasaliti watanzania kwa miaka khamsini na ushee.
Mr Murage.:canada:
 
Kiukweli uyo bwana alifanya kaz TISS wakat fulan wa mkapa,baada ya uyu mkwere kushika ufalme skuwai kumskia alipigwa vita sana na mwana mfalme lbd kabadili uraia
 
John Nyerere nilimwona live mala ya mwisho uwanja wa jamhuri Dodoma mwaka 1972, baadae alifukuzwa shule alikuwa anasoma Mazengo (Alliance), sababu ya kufukuzwa shule siwezi kuwaambia.
 
Andrew class mate wangu pale Tambaza enzi za Mzee Palangyo. We acha tu. Alilambwa mboko siku zileee
 
Back
Top Bottom