Sasa...embedded database server inakuenable developer kutengeneza database ambayo haitohitaji any server software kwenye client's computer. The database driver comes in a library ambayo unaiinclude kwenye project yako, kwahiyo ile database derver inakuwa under control ya application yako na inarun in the same JVM as the apllication.
Hiyo library unayoinclude ndio inakuwa na all the classes and methods required for database connection and manipulation through queries. Sijafahamu kama mysql wana embedded server, ila nilitumia derby ambayo ukishaiconfigure mambo ni murua. You import its classes in yours alafu unaiconfigure kutumia embedded connection, unaipa db location na credentials alafu ile connection object ndiyo unaitumia kufanya queries.
Kwa mysql, labda tuanze kwa kufind out kama wana embedded drivers.