naimani swala la harusi linategemea connection, marafiki na uhusiano wako na watu, na wala si mfuko wako...!
sherehe ya harusi tunmafanya ili kuwafurahisha wapendwa zetu(wake watarajiwa) kwan kwao ni heshima sana kuolewa na kuwaonyesha watu kuwa nimeolewa na fulan,
pia yapendeza sana kama...
wivu ni muhimu sana, na bnila wivu zi kwamba humoeni mwenzako, vivu ndi unaonyesha unamoenda na kumjali mwenzako kiasi gani,
huu upendo wa kikaka kakaaa tuu si huo unaongelewa hapa, hapa unaongelewa upendo wa kimahusiano ya kimapenzi,
so wivu ni muhimu na wivu ni kipimo cha mapenzi, tena...
kaka mbona umeatenga zain,
mbona hujadiscus zain nao data card za zikoje,
sab mimi nikizitumia maeneoi ya sinza napata speed mpata 365kbps, na maeneo ya kijitonyamana napata mpaka speed ya 7.2Mbps
dear colleagues
labda mtu atanisaidia, last year profit was 11 billion, leta makes assuption ndo faida imepatikana this year, since we are we will be having 25% of NMB share means we will get 25% of the whole profit. 25% of 11 billion is 2.75 billion.
since we are having 105000000 shares...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.