nakubaliana na wadau " usiulizie sana kwa watu" wengi hawapendi uhusiano wenu. kama unataka ukweli mshirikishe Mungu kwa maombi. pia unaweza kwenda msalimia bila kumtaarifu lazima utagundua tu kitu. Pio wakikupa taarifa zake waambia unahitaji ushahiidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.