Mwwenyekiti na Chama cha Waandishi wa habari mkoa wa Iringa na mwandishi wa habari wa Channel 10 amepigwa risasi na polisi kwenye mkutano wa CHADEMA Mufindi.
---
Mwandishi wa habari wa Channel Ten mkoa wa Iringa na Mwenyekiti wa chama chama cha waandishi wa habari mkoa wa Iringa Daud Mwangosi...
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam William Lukuvi amepita bila kupingwa kwa tiketi ya CCM na kata tisa zilizopo jimbo la isimani wagombea wa CCM wapita bila Kupingwa
Jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe wa ccm amepita bila kupingwa
Mwanasiasa Mkongwe nchini Balozi Daudi Mwakawago amefariki dunia Jijini Dar e salaam.
Mwakawago alipata kushika nyadhifa mabli mbali za Kiasiasa nchini, Ubunge Iringa Mjini, Uwaziri, Balozi wa Kudumu UN
Habari zilizopatikana hivi punde ya kuwa aliyekuwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora Ukiwaona Ditopile amefariki dunia kwenye Hospitali ya mkoa wa Morogoro.
Mbali ya brother Dito ambaye amefariki usiku wa kuamkia leo lakini pia kuna yule Binti Leocardia Kalumuna ambaye Gazeti la Mwanahalisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.