Sijawah dhan kuwa bado kuna wagonjwa wa akili kama ww mtoa mada hii, anyways utakuwa yule polisi aliyemuua Mwangosi, hivi ni sheria ipi inayosema m2 asiye mwaandishi wa habari auliwe kwenye halaiki kisa hajatambulika kama ni mwandishi???!! Hivi unaijua katiba ww, au unaishi kwa bahati mbaya, ok...
Ninavofahamu mimi, kwny criminal case serikali inatakiwa kuhakikisha watuhumiwa wanashikiliwa hasa wale waliokuwa eneo la tukio.SWALI: kuna walioshikiliwa kwenye kifo cha mwandishi wa Iringa? Na kile cha mfanyabiashara wa Msamvu Moro? Kama kwenye kifo cha Kanumba hakukuwa na shahidi zaidi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.