Mbona Loliondo ni mfano wa kampuni za dubai zinavyoendesha mambo. Hakika Kwa DP tumeingia matatani na kwa udart tutaingia matatani. Dubai ni sawa na wakoloni tu. Tutaibiwa hadi tukome. Na ubaya wakiingia hawatoki maana wananunua kila mtu kwenye seikali yetu. Kuna vitu lazima wenyewe tuendeshe au...
Sasa kama chama Kaimu mwenyekiti ni Kinana, katibu mkuu Nchimbi na huyu msemaji mpya huyu jamaa wa kugugu unategemea nini. Kinana ndio wale sirini walimuita magufuli mshamba na kumsema vibaya hata kupanga njama dhidi yake. Katibu mkuu ni huyu Nchimbi aliyemtetea lowassa agombee urais kikao cha...
Hii nchi utafikiri inaongozwa na wajinga watupu kwa kua kila kigogo anavutia mpango wake wa upigaji hela ya umma. Eti leo unawaambia watu mnazima mtambo mpya ambao umekua unasubiriwa kama lulu unasema mahitajini ya umeme ni madogo? Hapohapo unanunua umeme toka nchi jirani na hapohapo unasema...
Semeni tu mumetishwa na wale chawa. watanzania wengi wanajua mipango ya uchumi ya magufuli ilika mizuri kwa namna alivyoleta matokeo haraka kutokana na usimamizi wa mapato ya serikali kwa jinsi alivyodhibiti rushwa uzembe na ufisadi serikalini. Hebu fikiri kiongozi wa nchi unawaambia watumishi...
Kauli ya kinana tumemuelewa wanajpm. Alistaafu kuogopa moto wa jpm. Anafikiri kurudi chini ya mama amekuja kulipa kisasi na kumshusha jpm. Nyie wapinga maeneleo "reactionaries" mjue magufuli anaishi ndani ya mioyo ya watanzania na mwenyewe ni hatari kwenu kuliko alipokua hai. Endeleeni tu na...
Kwanza jimbo hilo waliunda kina makamba tu ili kutokea ubunge. Hana muda kushughulikia jimbo maana saa zote ni mipango ya upigaji na kutaka kuja kua rais.
Acha uteseke maana umesema huna jina la kikafiri. Inaelekea wewe mwenyewe ni muomini wa ubaguzi kwani unaona hao wenye majina ya makafiri ndio wanastahili kubaguliwa. Ujue hakuna sababu ya kumbagua binadamu mwenzako kwa lolote iwe dini au kabila. Basi wewe kula hiyo sumu ya ubaguzi bila kinyongo.
Sisi tunaangalia kazi yake nzuri kuhusu kutetea maslahi ya umma na yenye matokeo makubwa. Kama unamchukia hapo hujasema nini ameharibu. bila shaka utakua mmoja wa watu wabinafsi na dhulumati kwa wanyonge na mali ya umma.
Na hata wale fisadi vibaraka waliyomrukia mama kama mwewe kwa furaha eti ni mtu wao na kumshauri kuwatema wanamapinduzi saa hizi wanaabika. Si muda mrefu watatemwa na umma wa wananchi na kuabika. Kama ccm inataka kuendelea kama chama cha mapinduzi shurti ni lazima kuongozwa na wanamapinduzi ili...
Yaani mabenki yanatakiwa kuwadhibiti na kuwawajibisha mameneja na wakurugenzi wao kwa kuwahusisha na mikopo chechefu. Kwa nini benki itoe mabilioni kwa kampuni haina uwezo kulipa au imepanga kutorudisha deni.
Yaani ufisadi wa kupanga kabisa. yaan wanakopa mabilioni kisha serikali ndio inalipa kutokana na dhamana ya letter of credit. Wenyewe wanaenda kwa majaji wao wanajuana wanashinda. Hao ndio waliyosherekea kufa magufuli. Sasa hii kitu iko nje sio siri mama ajue wananchi wanataka fedha zao. Kama...
Wananchi watachoka kumsitiri kinana hivi karibuni. Vijembe wanavyompiga jpm watu wanaelewa. Alikimbia kustaafu kuogopa mwendo wa kimapinduzi wa jpm baada ya kuwalazimisha kwa akili kubwa wakatema mali za chama walizokua wamejimilikisha. Licha ya kusikika hawa wahuni wakimkejeri jpm wakifikiri...
Mama anasema anateua makundi yote. Hii ni kujificha kwenye mbawa zake kama mbuni. Kundi sahihi kuongoza ccm ni la wanamapinduzi, kina makonda, polepole, kabudi, kina ali hapi, katibu mkuu ccm enzi ya magufuli. Yaani wajamaa kwa vitendo, wale wenye kujali maslahi ya umma, wale wanamapinduzi. Hao...
Najua sana serikali inavyofanya kazi ndio maana naponda utaratibu wa akina makalla.
Ungejua kwanza vigogo wakubwa karibu wote hawategemei mshahara. Wakipata ofisi cheo kinakua sawa na kua na kampuni binafsi kutengeneza faida. Kwa hiyo wanakula gawio kupitia dili na rushwa bila kuwekeza kitu...
Nchi hii vigogo wapigaji wa hela ya umma wanafikiri watu ni wajinga wote na hawana kumbukumbu. Suala la ufungaji flow meter bandarini wengi tunakumbuka lilifanyika kipindi cha awamu ya nne ya JK lakini zikawa hazitumiki kwa kuhujumiwa.
Iko hivi, yaani uwekaji wenyewe ni dili maana kuna ulaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.