Naomba tuelewane Ukwaju, Kuchukuana mbona ni mambo ya kawaida! Hata kama anachukuliwa na watu wawili watatu hivi, tunasema huyu ana wapenzi wengi au mtandao wake umepanuka. Ninachomaanisha ni uchangudoa haswa, yaani kupeleka biashara sokoni kwa mnunuzi yoyote atakayejitokeza.
Naomba tuelewane Ukwaju, Kuchukuana mbona ni mambo ya kawaida! Hata kama anachukuliwa na watu wawili watatu hivi, tunasema huyu ana wapenzi wengi au mtandao wake umepanuka. Ninachomaanisha ni uchangudoa haswa, yaani kupeleka biashara sokoni kwa mnunuzi yoyote atakayejitokeza.
Naona vijana wengi wastaa wa bongo wanaandamwa na kashfa na maskendo kila kukicha. Wengine uzinzi, wengine utapeli na wengine walifikia kuchomana visu. Nini kinapelekea hali hiyo? Kwani haiwezekani kuwa staa bila kuwa na skendo?
kwanza ni kujua kuna nini humu, kisha kushiriki kilichomo
nahc nimekujibu ulivyotaka
sasa na wewe jibu swali la msingi, unadhani umri wa wachangiaji wengi ni kati ya miaka mingapi?
Niombe radhi kwa kunituhumu mnunuzi wa changudoa. Anyway post yako imenipa maswali kadhaa
Unaposema kinachosababisha ni % ya mkopo, kwani changudoa wote wana dhiki ya pesa?
Mwanadada kujua chuo fulani, faculty na hata course; huu ndio uthibitisho kuwa anasoma?
Una hakika hakuna mainjinia...
Sikuelewi unaposema post yangu ni ya kubuni, kwani si hata wewe umebuni majibu haya? Nimefuatilia yanayoandikwa kuhusu wanafunzi na ndio maana nikabuni post hii, tatizo wapi mwalimu? Umesema ni vigumu sana kuwajua wanachuo, sasa hawa wanaosema wanachuo wanajiuza wanawajuaje?
Unajua ukimapproach changudoa yoyote, anapenda kujipandisha grade so anasingizia yuko chuo na wengine wanafoji hivyo vitambulisho ili kuvutia biashara yao lakini sio wanachuo bana!
Imeandikwa sana kwenye vyombo vya habari kuwa kuna madenti wana desturi ya 'kujiuza' na hata baadhi ya vyuo vimetajwa tajwa kama vile IFM, SAUT, UDOM na hata Mabibo Hostel imehusishwa. Kisha nikasikia kuwa kuna sehemu kadhaa ndio sokoni, kama Sinza na club fulani mwanza. Nina ndugu yangu anasoma...
Niliyeanzisha sredi hisia ninazo tena kali kwelikweli, ila nazimaliza ma mpenzi wangu ambaye tunapendana. hapa swali ni kwa nini mwalimu aombe rushwa ya ngono? huyu mwalimu kumbuka ana mke nyumbani wa kutimizia hisia zake. Nini kinapelekea hadi amfelishe mtoto wa watu kwa sababu tu analazimisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.