Mimi ni mjasiriamali mdogo najishughulisha na ufugaji wa kuku. Je kuna mtaalamu anayeweza kunisaidia Tiba za dawa za asili au tiba mbadala kama kiswahili cha sasa kinavyosema kwa ajili ya kuku?
Nchi tajiri na za ulimwengu wa kwanza zinjiandaa kuondokana nayo, watu wa mazingira ni miongoni mwa wanaharakati wanaoipinga vikali nishati hii pamoja na ukweli kwamba umeme ukizalishwa kwa gharama ndogo walaji wataupata kwa bei ndogo na hatimaye mazingira yatahifadhika! Tutoke vipi?
Katika Tanzania ya leo ambamo Watanzania tumeanza kuzishitukia nyendo za uuzaji na umilikishaji wa rasilimali zetu kwa wageni limenijia wazo kutaka kujua mchakato mzima wa kukiuza kiwanda cha karatasi Mgololo. Je Serikali yetu imekiuza kwa nani!Je haiwezekani mambo ya Ki-Richmond kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.