Nishati ya umeme itokanayo na urani je ni suluhisho kwa uhaba mkubwa wa nishati ya umeme Tanzania?

PENDING'ULA

JF-Expert Member
Mar 3, 2008
268
46
Nchi tajiri na za ulimwengu wa kwanza zinjiandaa kuondokana nayo, watu wa mazingira ni miongoni mwa wanaharakati wanaoipinga vikali nishati hii pamoja na ukweli kwamba umeme ukizalishwa kwa gharama ndogo walaji wataupata kwa bei ndogo na hatimaye mazingira yatahifadhika! Tutoke vipi?
 
Back
Top Bottom