PENDING'ULA
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 268
- 46
Nchi tajiri na za ulimwengu wa kwanza zinjiandaa kuondokana nayo, watu wa mazingira ni miongoni mwa wanaharakati wanaoipinga vikali nishati hii pamoja na ukweli kwamba umeme ukizalishwa kwa gharama ndogo walaji wataupata kwa bei ndogo na hatimaye mazingira yatahifadhika! Tutoke vipi?