kaka huko TUGHE kuna mabaharia tuu hakuna kitu kabisa. Hivi mtu kama huyu anasema mshahara WA raisi hauna umuhimu wowote WA sisi kuujua! Dah kweli hakuna dhambi kubwa duniani kama UMBULULA! nimeamini. Angekua Baba yangu Leo Leo ningemkana yaani ni more than IDIOT.
sasa kaka kama hukusoma elimu dunia ukaishia kusoma habari za madrasa hv unadhani ukitaka ajiriwa utaajiriwa ktk proffesional gan? labda ya ugomvi usio na kichwa wala miguu. wenzenu wanasoma nyie porojo halafu ikija ajira mnasema ooh mfumo kristo, mbona kuna waskaji zangu kibao waislam tumepiga...
mimi naona kuna watu especially viongozi kama muhongo wanataka potosha umma. ukifatilia sakata la Mtwara utaona kuwa wana Mtwara siowamekataza gesi la hasha bali wanataka viwanda vya kusafishia hiyo gesi pamoja na mitambo ya umeme ijengwe Mtwara then hiyo gesi isafirishwe ikiwa tayari imeshakuwa...
kaka mchanganuo wao unafahamika tuu sio mpaka uon tiketi ya mtu wewe nenda ktk website yao kwenye booking then we can talk. hivi kwa watz ambao asili yao lazima abebe mzigo akisafiri utamsaidia kweli ktk hili? pili nachid kama inavyofahamika hapo hakuna kitu inaitwa VAT sasa subiri waiweke then...
mimi kama mmoja wa watu wanaosafiri sana niliposikia huduma mpya za fastjet tanzania kwa gharama nafuu ya Tsh 32000 nikasema mkombozi kafika Tanzania kwa watu wa Dar-Mwanza na KLM. Nikasema hvi kama napanda dar express dar to arusha kwa Tsh 28000 kwa masaa karibu kumi, leo naambiwa natumia...
kangalo ndo leo nakaona kamezama sasa hapa ni ishu ya watesi wangu wanaonidai mana nilikua najitetea baada ya kuona tangazo sasa hali imebadilika jamaa wataniua maana wameshajua zimeingia sasa ni ishu ya kuwalipa tuu. kweli njaa bado kali
tunaanza kuona ukweli halisi kaka hapa hakuna tumaini lolote. hebu mwenye kumbukumbu tangu sakata la salary limeanza ni miezi mingapi sasa imepita na ishu ni ileile? hakika zimwi likujualo halikuli likakwisha
Jamani hv hii nchi inaelekea wapi? Waziri mkuu ktk kikao kilichopita cha bunge akijibu swali kuhusu kuchelewa kwa mishahara alisema tatizo limekwisha. Sasa mnaweza jionea hali halisi kwa kutembelea mbao za matangazo Muhimbili,wamesema pesa itachelewa kwa sababu mpaka sasa bado hawajaletewa toka...
"Kikwete chaguo la Mungu" kweli watz tuna safari ndefu sana ya kufika tunapotamani. Hv kwa mtu kama huyu anayejiita "mtumishi wa Mungu" japo ni kibaraka wa binadamu wenzie anaweza leta utabiri wa kipuuzi kiasi hichi? ifike mahala watz tuwe tunawapopoa mawe tuu hawa vibaka wanapofika altareni na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.